mtugani wa wapi huyo
JF-Expert Member
- Dec 5, 2012
- 1,239
- 1,477
Za mchana nzuriKapukuz za asubuhi!
Duh, asante kwa taarifa
Nitakosa tena!? Nilikuwa upande wa yule DJ, kila akisema moja ya bureeeee naamka kufuata mbili
Yaani kuna watu huwa wanaonekana huku kwa Makapuku tu.![]()
Khaaa! Sasa dada na wewe unataka nikuhonge, au?! Binamu haongwi bhana...
Mkao wa Kula tafadhal
@Tumosa naomba unitafutie popote alipo mwambie namtafuta sana
Mabadiliko gani ndg
Hata mm kichwa changu chepesi.namuhitaji anifundishe zaidi
Amekuwa muungwana sana kwangu.ni kweli darasa tosha.VP umeona kuna mabadiliko.
Mwalimu wako yupo,kapumzika kuingia jf kama kuna lolote nambie nitamfikishia
@tumosa umempeleka wapi shunie?
Kuna together party...Hivi nimeshalipiwa jf together party au umewalipia wengine
Hivi nimeshalipiwa jf together party au umewalipia wengine