Tangu lini maskini wakashinda hotel za 5 star ?
Yaani kuna watu huwa wanaonekana huku kwa Makapuku tu.![]()
Atakupatia mkuu ngoja ajeNitumie namba yake
Khaaa! Sasa dada na wewe unataka nikuhonge, au?! Binamu haongwi bhana...Anko mm nakataa we muhongaji sana wewe sio mbahili kama chige na @wick
Shikamoo binamuNawatakia kila mmoja kwa nafasi yake, wiki njema yenye mafanikio. Hapa ni sehemu nzuri kwa sababu wewe mdau wa Jukwaa hili upo hapa
![]()
TUOMBE:Baba yetu na Mungu wetu Tunakushukuru sana kwa yote unayotutendea,Asante kutuamsha salama leo tarehe 17 Jumatatu Septemba 2018 Tunaomba endelea kutusamehe, kutupigania ..ponya wagonjwa ,ponya mioyo iliyopondeka ..angalia wajane,wagane ,yatima na waliopoteza tumaini tusaidie tuweze kusema ndiyo kwa upendo wako mkuu na kukutumainia .


AmeniTUOMBE:Baba yetu na Mungu wetu Tunakushukuru sana kwa yote unayotutendea,Asante kutuamsha salama leo tarehe 17 Jumatatu Septemba 2018 Tunaomba endelea kutusamehe, kutupigania ..ponya wagonjwa ,ponya mioyo iliyopondeka ..angalia wajane,wagane ,yatima na waliopoteza tumaini tusaidie tuweze kusema ndiyo kwa upendo wako mkuu na kukutumainia .
Tuimarishe imani zetu na endelea kutuongoza mioyo yetu ikutukuze wewe.
Tunaomba utusaidie katika mapito yetu imarisha uchumi wetu,bariki kazi za mikono yetu zizae matunda ya kukupendeza .
Wasaidie watoto na wajukuu wetu wakujue na kukutegemea wewe tu ,wakukabidhi maisha yao yote..wakupende na kuujua upendo wako wa milele.
Asante Baba kwa msamaha na huruma yako Mungu wetu umekua kimbilio letu na haujawahi kutuacha.endelea kuwafariji wafiwa,wenye changamoto mbalimbali tusaidie tuimarike katika kukutegemea.Roho Mtakatifu kaa nasi siku zote za maisha yetu Adui ashindwe katika jina la Yesu Kristo Damu ya Yesu inene mema katika kila tunalopitia tunaomba na kuamini katika jina la Yesu Kristo Amen.
JUMATATU NJEMA YA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE![]()
Jambo totooAmeni
Jambo totoo
abee dadaTUOMBE:Baba yetu na Mungu wetu Tunakushukuru sana kwa yote unayotutendea,Asante kutuamsha salama leo tarehe 17 Jumatatu Septemba 2018 Tunaomba endelea kutusamehe, kutupigania ..ponya wagonjwa ,ponya mioyo iliyopondeka ..angalia wajane,wagane ,yatima na waliopoteza tumaini tusaidie tuweze kusema ndiyo kwa upendo wako mkuu na kukutumainia .
Tuimarishe imani zetu na endelea kutuongoza mioyo yetu ikutukuze wewe.
Tunaomba utusaidie katika mapito yetu imarisha uchumi wetu,bariki kazi za mikono yetu zizae matunda ya kukupendeza .
Wasaidie watoto na wajukuu wetu wakujue na kukutegemea wewe tu ,wakukabidhi maisha yao yote..wakupende na kuujua upendo wako wa milele.
Asante Baba kwa msamaha na huruma yako Mungu wetu umekua kimbilio letu na haujawahi kutuacha.endelea kuwafariji wafiwa,wenye changamoto mbalimbali tusaidie tuimarike katika kukutegemea.Roho Mtakatifu kaa nasi siku zote za maisha yetu Adui ashindwe katika jina la Yesu Kristo Damu ya Yesu inene mema katika kila tunalopitia tunaomba na kuamini katika jina la Yesu Kristo Amen.
JUMATATU NJEMA YA BARAKA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE![]()