Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Taja Majina Unakosa Nini

...hakuna mgeni humu, tuko ni marafiki ambao hatujakutana (no strangers here only friends you haven't yet met) yaani kutiana machoni kuonana mwili kwa mwili. Nakusalimia sana wewe Kapuku ambaye bila hiyana unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri sana kuwepo. Ninaweza kutaja majina hadi nikachoka lakini labda itokee tu sijalitaja jina lako, unakosa nini!

Hebu burudika kwanza

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom