Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Eeenh
Umetekwa na nani eti jamani
Umetekwa na nani eti jamani
Mwenyewe nimetekwa!.
Mwenyewe nimetekwa!.





kula kulana pale kati patamu



Angelikuwa shunie anakwambiew unaendaaa kuliwa sema anatamkaga kukulana ...shunie huyu jaman
Kuna together party...
Ulisema ushalipiwa
Eiish jamani ww si ulisema nikulipie
Wapi?Ipo T Dec uko
Wapi?
Naomba link ya thread...!Kinondoni kanilipie shem wangu unipitie twende thread ipo chitchat



Naomba link ya thread...!
Watu tutafia kinondoni siku hiyo...
Fulu kufahamika yaani![]()
Kaaaa kimyaaaa!


Ni sh ngapi kwani?
Kaaaa kimyaaaa!
Sitaki ulete mambo ya dada hapa!
Hii ni kinondooooooni
Jamani kwahiyo ulitekwa ikawaje eti kwenye mtekano ukoNishajiokoa 🙂🙁
Elf 30 mtu mmoja hivi si ufungue usomeNi sh ngapi kwani?
Mara nitokee niseme jamani mimi ndio T wa kapuku....Basi T jamani nimekoma mm siongei tena habari za dada









