Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Hahaha sikusingizii ila sijui kwanini umeuliza kwamba alikuwa namimi akati huyo ni mume wa mtu

Hahaha sikusingizii ila sijui kwanini umeuliza kwamba alikuwa namimi akati huyo ni mume wa mtu

Huku niii shwangaaa kabisaaPoa arifu ni vipi kitaa hicho...
Nikoo hapaa mchepuko wakoo
Mrs infoo
Wanakujaaa afandeeeNa wengine wote mkujeee huku
Huyu kajtekaMrs infoo
Wewe unanikanaaa kabisaa mbele ya anko binamu