Makapuku Forum

Makapuku Forum

23b741c6ecd7a16ca1000c60cfe0ea1f.jpg
ok hiyo hapo
 
.....sio kigodoro tu, nitaenda msikitini na kutumia sipika za masijid kutoa tangazo la na nitaenda serikali ya mtaa na kushusha bendera nusu mlingoti halafu naenda kwenye geti la pale ikulu nakojoa
Halafu narudi kambini hapa mizinga kunywa bia za bei chee , nitakukaribisha maana sipendi kabisa umuache anko wangu.
Nitakosa Cha kuongea jamani, usifanye hivyo
Ukienda kukojoa ikulu niite na mie twende wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom