Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Kweli sho utaniHa haa acha kunichora
Kweli sho utaniHa haa acha kunichora
Haya mwambie zimefikaKweli sho utani
NtamwambiaaHaya mwambie zimefika
Unajua mwenyeweHivi mimi nimekukoseaga nini wewe jamani, maana sielewi kabisa chuki hii inatoka wapi. Au tumerogwa? Ngoja anko akirudi tukacheki kwa yule demu wake anayefanya kazi za uganga wa jadi. Anko huwa anaumuita 'beibe fundi'
SitakiiiiiiiiiiHa ahahahahaha! Nimekumbuka lile tangazo la Nido, huyu ni mama yetu na haya ni maziwa yetu.
Hebu muite BH nina shida naye ya faragha ( usiulize maswali)
Sawa sawa jiandae kufanya sherehe.....sio kigodoro tu, nitaenda msikitini na kutumia sipika za masijid kutoa tangazo la na nitaenda serikali ya mtaa na kushusha bendera nusu mlingoti halafu naenda kwenye geti la pale ikulu nakojoa
Halafu narudi kambini hapa mizinga kunywa bia za bei chee , nitakukaribisha maana sipendi kabisa umuache anko wangu.
Nitakosa Cha kuongea jamani, usifanye hivyo
Anko anko anko anko anko anko ankoHivi mimi nimekukoseaga nini wewe jamani, maana sielewi kabisa chuki hii inatoka wapi. Au tumerogwa? Ngoja anko akirudi tukacheki kwa yule demu wake anayefanya kazi za uganga wa jadi. Anko huwa anaumuita 'beibe fundi'
Kweli ww kaben 10ok hiyo hapo![]()
mwenzio kamzoea Lee wake na kitambi mbonyeo.....sio kigodoro tu, nitaenda msikitini na kutumia sipika za masijid kutoa tangazo la na nitaenda serikali ya mtaa na kushusha bendera nusu mlingoti halafu naenda kwenye geti la pale ikulu nakojoa
Halafu narudi kambini hapa mizinga kunywa bia za bei chee , nitakukaribisha maana sipendi kabisa umuache anko wangu.
Nitakosa Cha kuongea jamani, usifanye hivyo

Hivi mcute wako kasepa mbona haonekaniSasa anko mbona hujanipa taarifa kama utapita
Kibibi gagula mie na ben 10 wapi na wapi yaan sielewani na vi ben 10 mie mambo ya kuanza kuombwa hela nani anataka ataanza au tuanze kugombania dressing table![]()
![]()
![]()
kaben10 kamekuzimia 'ujue'
Kweli ww kaben 10![]()
![]()
mwenzio kamzoea Lee wake na kitambi mbonyeo
Kumbe aliweka acha nicheke kisambaaSakayo ukuje umuone muhandsome wako uliyekua unamsifia ujue we sawa na mdogo wangu wa kiume wa mwisho
Kibibi gagula mie na ben 10 wapi na wapi yaan sielewani na vi ben 10 mie mambo ya kuanza kuombwa hela nani anataka ataanza au tuanze kugombania dressing table
Kibibi gagula mie na ben 10 wapi na wapi yaan sielewani na vi ben 10 mie mambo ya kuanza kuombwa hela nani anataka ataanza au tuanze kugombania dressing table
kigombania dressing tableHa haa mi sio kabe10 mi mkubwa ety
Nimekukandia wapi tena jamanUjue unanikandia