Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hebu weka picha ulowekaga chitchat na cie tuone
23b741c6ecd7a16ca1000c60cfe0ea1f.jpg
ok hiyo hapo
 
We ndio wa kwanza usiyenipenda na siku ya kuachana na anko wako utafunga na kigodoro


.....sio kigodoro tu, nitaenda msikitini na kutumia sipika za masijid kutoa tangazo la na nitaenda serikali ya mtaa na kushusha bendera nusu mlingoti halafu naenda kwenye geti la pale ikulu nakojoa
Halafu narudi kambini hapa mizinga kunywa bia za bei chee , nitakukaribisha maana sipendi kabisa umuache anko wangu.
Nitakosa Cha kuongea jamani, usifanye hivyo
 
.....sio kigodoro tu, nitaenda msikitini na kutumia sipika za masijid kutoa tangazo la na nitaenda serikali ya mtaa na kushusha bendera nusu mlingoti halafu naenda kwenye geti la pale ikulu nakojoa
Halafu narudi kambini hapa mizinga kunywa bia za bei chee , nitakukaribisha maana sipendi kabisa umuache anko wangu.
Nitakosa Cha kuongea jamani, usifanye hivyo
Ankoooooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom