Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Mungu hapendi venye wanifanyiaMungu hapendi nikuhamu jamanii?
Mungu hapendi venye wanifanyiaMungu hapendi nikuhamu jamanii?
HawajamboWatoto wangu wazima kwanza?
Jamaani...Mungu hapendi venye wanifanyia
Mimi sikuelewi ujue, utakuta funguo pale kwa mpemba, aki naondokaJamaani...
Hapa ujue nimetoka barabarani ...! Niko poriniiii huku Itigi
Wanasema huwapendiBaba yao anawamiss...
Nimemiss zile kelele zao..
KishikwambiiiT Wa s - tumosa Wa shululu
Na uzuri sio sabuni kwamba inaishaAnataka nn?!
Km ni dushe MPE tu hiyo ni haki yake hiyo
Anko hawezKunywa sayona mpenzi obe atalipa
Oyaaa acha ungese banaaHii ilianza lini?
Upi ??Oyaaa acha ungese banaa
Wale malaika wangu wakiweza kunichukia basi hata mbinguni nitakuwa na Doubt...Wanasema huwapendi


Naruuuuuuudi Alhamis jioni bhanaa.Mimi sikuelewi ujue, utakuta funguo pale kwa mpemba, aki naondoka
....anko, sasa hivi maumivu yamepungua, nimekula madiclopar kama kichaa, kumbe yanasaidia bhana! wikend nimeshinda nasikiza gospel tu wala sijaweza kufanya kitu kingine.
Ila anko siku nyingine misala yako siji hata ukiniita vipi, haya maumivu ni kwa sababu nilikuja kuingilia ugomvi wakati unagombana na mchumba wa Perepetua, jamaa anapiga balaa, vipi mbavu zako

...lol! Kuna ABJ tena, yule shortie uliyembadili jina ukamuita MC sababu ya changamoto yake ya ufupi imekuwaje tena?
MC = Mini cooper vile vigari vizuri vidogo vyenye changamoto ya umbo navyovipendaga sana

![]()
![]()
![]()
Mtongozo mubashara
..ha hahahhaa, atakuwa yule uliyempa namba yako ya whatsapp, anakutafuta! Hivi hata ulimkumbuka kumtizama vizuri maana zile bia zilikuwa za moto utasema zimetengenezwa Dodoma

Ha hahahhaaha, usiseme kwa sauti anko wangu mkubwa atanilaani maana japokuwa ni king mswati lakini hataki kabisa kushare

...ndugu unakula nao chakula cha kushibisha tumbo, ila chakula cha kimwili ndugu usiwashirikishe
