Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Ndo nashangaa au ukute bwana wake husna wa kitambo...ha hahhahaha, ila anaonekana ana data za kutosha, kamjuaje husna muba kwanza?

Mama na kule nimekuona
Nimemuogopa yule mtu,sio wa kawaida...Mungu aingilie kati tuMama na kule nimekuona
T Wa s - tumosa Wa shululuPoa T wa S,za jumapili
NimekuhamuSawa
Anataka nn?!Jamaaaaani Sakayo anataka...!
Nimpe Nisimpeeeeeeee![]()
Ngao ya maji ni kama ngao ya kidongeNaomba kuuliza lyon lee ndo lee empire?
Bombadieeeeeeeeeeer!Anataka nn?!
Km ni dushe MPE tu hiyo ni haki yake hiyo

Humu kuna mtu nampenda anapenda kuandika post anaishia na 'ujue'

Kwanini umesema hivyoNgao ya maji ni kama ngao ya kidonge
Kweli nampenda 'ujue' sana
Kunywa sayona mpenzi obe atalipaTaja jina ajue unampenda ndio nyie unampenda mtu unakufa na tai shingoni mwenzio anazama pm huko anaimbisha anajilia mautamu au we domo zege
Haya ww mdada sijui mkaka unapendwa huku na shedede mana unaweza ukawa unampenda mdada na avatar yake kumbe ni dume mwenzio mambo ya jf hayo

'Ujue' nilikuwa na shida na wewe sema mmeo akanikandia
Ila 'ujue' kivyovyote vile nina-mpenda sana ...
'Ujue' would you be my lover?
Mungu hapendiNimekuhamu
Mungu hapendi nikuhamu jamanii?Mungu hapendi
Watoto wangu wazima kwanza?Mungu hapendi