Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Peps mirindaUlijuaje?
Hivi na BH naye ni cheusi au ndo mambo ya mbagala rangi tatu

Peps mirindaUlijuaje?
Hivi na BH naye ni cheusi au ndo mambo ya mbagala rangi tatu

Nakuja bhanaaaYamekuwa hayo tena??? Alhamis kote hukooo
Kwahiyo ndio akakwambia uje useme huku?Naona anko baada ya kuanza kurecover baada ya kile kipigo ameanza kutamba haswa na leo hii ashapanga appointment na mwarabu wake wa pemba ila hajasahau kukusalimia kapuku ...anauliza siku zenu zikoje ??
MmhNdo nashangaa au ukute bwana wake husna wa kitambo
Sakayo alisema ni muhandsomeMbona ni mzuri tu
Labda umri ndio tatizo![]()
![]()
![]()
Wa kuquote post ndefuUpi ??
Nishamaliza nowKwaiyo unapitia post hadi post we kiboko
Nishamaliza now
Ni kawaida yangu kupitia viporo nikiingia humu
Haya ingia class nowKazi nzuri
Ongea vizuri hebu,nani anakupa kiburiNakuja bhanaaa
Ipi ?Wa kuquote post ndefu
Hivi kweli nisipomaliza kazi unadhani tutakuwa na ile furaha tukiyonayo..Ongea vizuri hebu,nani anakupa kiburi
nani Handsome?Sakayo alisema ni muhandsome
Hahahaa! Anamtaka Mama wawili wangu..?![]()
![]()
Shedede
Unaogopa ayakupiku
Okay babeHivi kweli nisipomaliza kazi unadhani tutakuwa na ile furaha tukiyonayo..
Hebu kuwa mvumilivu mama! be Humble please.