Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,906
Ndio mpendwa wako huyoLoh!
Ndio mpendwa wako huyoLoh!
Kwa BH......mimi sio mbahili sema nina mkono wa birika. Ila kul ninapokuambiaga twende sio mbahili, akikohoa natema

Mh!Kilichompata ata usipotuadithiaa
Nimefanyeje?!Kumbe ??
....yaani nichane karatasi mwenyewe? Heh, kitu kinanukia kiwanda, kinanukia mashine. Nataka kitu kimeoshwa kinajua kubadili macover, kinajitosheleza kina apps zote, mimi nachofanya nina update tu
nijichekee mie...siku anko akitishia kukuacha ninamsema kwa askofu Gwajima na Mange Kimambi, lazima arudi akuombe msamaha

Heshima ykoShikamoo
....nimeweka kwapani mengi tu mbona. Umesahau hakuna anayejua siku ile umeenda kumsajiri yule miss bombadia kumbe tayari ashasajiriwa tyari, vurugu lae nishukuru nilikuja na msafara wa kamando siroz

Nko poa kbsaNzuri hope uko poa
Mfyuuuuu unaonaga rahaa kusalimia mume wa mtu leo unasalimiwa wewe unapotezeaHeshima yko
Hbr ya ucku huu baba wawiliMy love, za adhuhuri
![]()
![]()
I love you
Husobe![]()
![]()
Ni niniii

....yaani sio dubwaaaaaa ni chubwiiiiiiiiiii maji yanaruka na sauti za prakatarumbaaaa atumbaaaa zinasikika kuongeza ladha
![]()

![]()
![]()
hamna kibaya my love
Moyoni mwangu uko wewe peke yako
makaveli10 nilimtishia kuwa nimemfanyia tego mpenzi wangu kwa hiyo tusilaumiane, yaani hata akipeleka kidole pendwa kinanasa. Sitaki mchezo mimi, ukijidai kupima oil kuangalia friction itakuwaje imekula kwako.
na ile dawa mganga alikufa akanipa sharti moja tu, kumsaidia aliyenasiana ni kumkata kiungo kilichonasia, siku akianzia chumvini ninakuja na msumeno

....anko wangu mkubwa ana tabia kama za mdogo wake, tunafanana sasa si unajua mambo ya ukoo tena mjomba.
BTW, anko mkubwa, yule anko wangu aliye rafiki yangu kabisa, sio wewe maana wewe tunakuitaga Robert Mugabe kwa kupenda dogodogo.
Yule anko wangua anayejulikana humu katekwa na mwanamke asiyejulikana, nitaweka picha

Umechoka kucheka![]()
![]()