Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
.....nami nakusalimia aunty yangu. Hujambo lakini.
Nipo hapa nimepumzika maana jua lilikuwa kali sana hadi paka wa jirani kakataa maziwa anataka icecream za Azam

.....nami nakusalimia aunty yangu. Hujambo lakini.
Nipo hapa nimepumzika maana jua lilikuwa kali sana hadi paka wa jirani kakataa maziwa anataka icecream za Azam

Alilala na bibi hatusi masaa 4 kabla ya harus
Hivi me kuna nilichoharibu kweli mbona sikumbuki jamaan![]()
![]()
au nikutangulie
Thubutuu wadanganye wengineNajua wapi kibibi gagula mimi![]()
nishapita huko
Huyo hawezi kuwa na presha hizo mambo kashazoea ana list yake akianza na mama ashura mvaa nini sijui bado muuza chapati na yule muuza supu akiwapanga kutoka mtwara mpaka dar wanafika

Kwani huamini., na najua unaweza kucheza ata wewe sasa siku ukienda usicheze kaa nje utaona utamu wake najua utainjoy kama neneDuuu
Uchovu wa safar najua unakusumbuaHivi me kuna nilichoharibu kweli mbona sikumbuki jamaan
Anko wako mkubwa au mdogo ?
Eehheeee nakujaKaribu tukupe usajili
Obe kocha mchezaji


tena kwa spidi zoteeeKaribu tukupe usajili
Obe kocha mchezaji
Tusalimiane kwanza anko ujue hii dunia gunia na raha ya dogodogo inanoga ukiwawahi hajapokea bumu wale first year ...unakumbuka yule uliyemuomba anko wako mkubwa wakusaidie regist nikamsaidia mm kwa niaba yake niliona faida....anko wangu mkubwa ana tabia kama za mdogo wake, tunafanana sasa si unajua mambo ya ukoo tena mjomba.
BTW, anko mkubwa, yule anko wangu aliye rafiki yangu kabisa, sio wewe maana wewe tunakuitaga Robert Mugabe kwa kupenda dogodogo.
Yule anko wangua anayejulikana humu katekwa na mwanamke asiyejulikana, nitaweka picha
Shart la kwanza anko obe ndo anaonja kwanzaEehheeee nakujatena kwa spidi zoteee
Atakua anko wako mkubwa...afu wewe mkuu wa benchi la ufundi na muibua vipaji aka tester
Ila hii nyimbo jamaanAlilala na bibi hatusi masaa 4 kabla ya harus

Binamu achana na salaam hii ya kawaida hivi huoni makiss hayo ya maka na mpendwa wako wanaanzaga hivyo hivyo ahahhaha ila huyo paka kiboko wa kukataa maziwa na kutaka icecream
Eh!! Eh! Eh!!Shart la kwanza anko obe ndo anaonja kwanza


tayari kukaa bench kama mambo yenyewe ndio hayo