Makapuku Forum

Makapuku Forum

Anko wako mkubwa au mdogo ?


....anko wangu mkubwa ana tabia kama za mdogo wake, tunafanana sasa si unajua mambo ya ukoo tena mjomba.

BTW, anko mkubwa, yule anko wangu aliye rafiki yangu kabisa, sio wewe maana wewe tunakuitaga Robert Mugabe kwa kupenda dogodogo.

Yule anko wangua anayejulikana humu katekwa na mwanamke asiyejulikana, nitaweka picha
 
....anko wangu mkubwa ana tabia kama za mdogo wake, tunafanana sasa si unajua mambo ya ukoo tena mjomba.

BTW, anko mkubwa, yule anko wangu aliye rafiki yangu kabisa, sio wewe maana wewe tunakuitaga Robert Mugabe kwa kupenda dogodogo.

Yule anko wangua anayejulikana humu katekwa na mwanamke asiyejulikana, nitaweka picha
Tusalimiane kwanza anko ujue hii dunia gunia na raha ya dogodogo inanoga ukiwawahi hajapokea bumu wale first year ...unakumbuka yule uliyemuomba anko wako mkubwa wakusaidie regist nikamsaidia mm kwa niaba yake niliona faida
 
Binamu achana na salaam hii ya kawaida hivi huoni makiss hayo ya maka na mpendwa wako wanaanzaga hivyo hivyo ahahhaha ila huyo paka kiboko wa kukataa maziwa na kutaka icecream


...nimemuona tu Maka throwing kisses to my apple pie husna muba utasema anko Magu akipiga pushups kwenye kampeni.

Ila ujue nini, Husna na mimi yaani Husobe ni ngumu sana kututenganisha, at least for now. Hivyo usiogope sana aunty na ninashukuru kwa kuliona hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom