Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
...sharing is caring. Unakuwa mchoyo kama umezaliwa kwenye nyumba ya ibada, kizuri unakula na wenzako.
Vinginevyo usituambie kama ni mtamu wakati wengine hatujamuonja








...sharing is caring. Unakuwa mchoyo kama umezaliwa kwenye nyumba ya ibada, kizuri unakula na wenzako.
Vinginevyo usituambie kama ni mtamu wakati wengine hatujamuonja








Moshi nako kumbe![]()
![]()
Kikubwa ni uzima tu binamu ndio ninachotaka atekwe ajiteke yote heri..ndo maana najivunia kuwa na aunty kama wewe, wewe ni malkia wa nguvu. Huogopi akitekwa au akijitekesha
Wapo kumbeHapana wa humu kapuku
Hakuna na ukicopy kule kuleta huku vinakuja vitu tofautiKwelii sionii tuvitu twetuuu
Mimi huyu ??...yeah, kwani mbio za mwenge huwa zinavuka kijiji? Umesahau ulipokuwa kiongozi wa mwenge mwaka jana. Ukaibuka hadi kwa wahamiaji haramu
Ilikua utani tu walisema tukiachana watapika pilauWapo kumbe
binamu me nimekuelewa sana
♂♂♂♂Hakuna na ukicopy kule kuleta huku vinakuja vitu tofauti
NiwajueeIlikua utani tu walisema tukiachana watapika pilau
...usidhani ni mimi, safari za kikazi ni za anko. Mimi si unajua ni Mtwara na Lindi tu basi ndo mwisho

Nakumbuka ulitusimulia japo napo hukudumu na tabia yako ile
Na mambo ya moshi mbona anko wako hanaga safari za huko...usidhani ni mimi, safari za kikazi ni za anko. Mimi si unajua ni Mtwara na Lindi tu basi ndo mwisho
Ahahahhah♂♂♂♂
HusnaNiwajuee
na ulivyo mbahili kuhongq
Kilichompata ata usipotuadithiaa...nitadumu vipi tena, si niliitwa kwenye kamati ya usuluhishi ya yule jirani yako, wakaamua mke wa jirani yako, yule dada chotara aje akae kwangu nimfundishe tabia njema