Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
SawaAisee.
Ni jambo la kushukuru sana kwa hicho kiasi
SawaAisee.
Ni jambo la kushukuru sana kwa hicho kiasi
Sawa sawa kumbe ana onyomakaveli10 nilimtishia kuwa nimemfanyia tego mpenzi wangu kwa hiyo tusilaumiane, yaani hata akipeleka kidole pendwa kinanasa. Sitaki mchezo mimi, ukijidai kupima oil kuangalia friction itakuwaje imekula kwako.
na ile dawa mganga alikufa akanipa sharti moja tu, kumsaidia aliyenasiana ni kumkata kiungo kilichonasia, siku akianzia chumvini ninakuja na msumeno
Keshawaacha wote now ametulia kwanguHuyo hawezi kuwa na presha hizo mambo kashazoea ana list yake akianza na mama ashura mvaa nini sijui bado muuza chapati na yule muuza supu akiwapanga kutoka mtwara mpaka dar wanafika

Mbona mi sioni cha kuchekesha hapo
Kwani huamini., na najua unaweza kucheza ata wewe sasa siku ukienda usicheze kaa nje utaona utamu wake najua utainjoy kama nene

Abeeeh mwifwaShunie![]()
Ahahhahahhah
....anko wangu mkubwa ana tabia kama za mdogo wake, tunafanana sasa si unajua mambo ya ukoo tena mjomba.
BTW, anko mkubwa, yule anko wangu aliye rafiki yangu kabisa, sio wewe maana wewe tunakuitaga Robert Mugabe kwa kupenda dogodogo.
Yule anko wangua anayejulikana humu katekwa na mwanamke asiyejulikana, nitaweka picha

Kwani hutakiiiii..hili cheko la kishabiki sana hadi mpendwa wangu anaweza akadhani ninataga unigawe kigamboni
...nimemuona tu Maka throwing kisses to my apple pie husna muba utasema anko Magu akipiga pushups kwenye kampeni.
Ila ujue nini, Husna na mimi yaani Husobe ni ngumu sana kututenganisha, at least for now. Hivyo usiogope sana aunty na ninashukuru kwa kuliona hilo

....unadhani presha tu, tayari nishapata kipandauso na kwikwi. Ninahitaji maelezo ya kujitosheleza maana nina moyo mimi pia
hamna kibaya my love Na ole wako usiweke hiyo pic nakushtakiiiiii hata akitekwa na wanawake binamu nini mwanamke mmoja ukiona hivyo ujue ni rijali

...Dar hawafiki bhana, wakifika chalinze wanachepuka unawahesabu kuanzia hapo hadi Kishumundu Moshi. Hapa nataja trip za 'kikazi' wakati niko kwenye mbio za mwenge

Umefuraahi mwenyewe
...sasa nitasahau vipi wakati kile kitendo ndo kilinifanya nikahama chuo nikaenda Veta maana huko hawababaishwi na hela za bodi sijui wanunue TV, tayari wanazo
