Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Uniambiee akijaMazito ya siri maka ebu ukuje
Uniambiee akijaMazito ya siri maka ebu ukuje
Ujue unanichekesha sana shem mm sipo huko kabisa nimeipenda tu nikaamua niwaletee wanawake wenzangu humuSasa mbona umecheka
Si mm naona anakupaga makopa kopa au ni husna kakufundisha
makopa kopa napewa na baba d tu
Oooooooh nikajua umejifunza unawashirikishaa wenzakoUjue unanichekesha sana shem mm sipo huko kabisa nimeipenda tu nikaamua niwaletee wanawake wenzangu humu

MweeeeKupata nin shem langu!?
NakusalimiaaMweeee
Lakini me mtu mzima ujue shem mambo kama hayo yanakutokea unamwambia tu Mungu mwache aendeOooooooh nikajua umejifunza unawashirikishaa wenzako
![]()
![]()
![]()
![]()


Shem usinambie dude limeamshwa na mvua hiiLakini me mtu mzima ujue shem mambo kama hayo yanakutokea unamwambia tu Mungu mwache aende![]()
Hapana jamaanKumbeeee
Na mmi nipe kamoja
Ka kizunguuu ka mkononiHapana jamaan
Cjambo shemu za wwNakusalimiaa
Lakini ungelikuwa ushanipigiaa![]()
![]()
![]()
![]()




sasa hivi navumilia nayo ujue hivi hushangai mda sana sijakupa matukio ya hivyo
ShikamooCjambo shemu za ww
Hahahahaha utan bhanaUniponzeee![]()
Nzuri hope uko poaCjambo shemu za ww