Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Muulize kumbe anko muongoNa mambo ya moshi mbona anko wako hanaga safari za huko
Muulize kumbe anko muongoNa mambo ya moshi mbona anko wako hanaga safari za huko
Kumbe ??Husna
hutaki kitu new
......mimi sio mbahili sema nina mkono wa birika. Ila kul ninapokuambiaga twende sio mbahili, akikohoa natema





unanijaza
Binamu ukujeMuulize kumbe anko muongo
Ndio zinakuja hivyo
....yaani nichane karatasi mwenyewe? Heh, kitu kinanukia kiwanda, kinanukia mashine. Nataka kitu kimeoshwa kinajua kubadili macover, kinajitosheleza kina apps zote, mimi nachofanya nina update tu
nakugawa bureee binamuHivi unanitafuta niniiiii nikiachana na anko wako ndio wewe na wale wa kufanya party mpo pamoja
WajingaaaNdio zinakuja hivyo
....yaani nichane karatasi mwenyewe? Heh, kitu kinanukia kiwanda, kinanukia mashine. Nataka kitu kimeoshwa kinajua kubadili macover, kinajitosheleza kina apps zote, mimi nachofanya nina update tu

....nimeweka kwapani mengi tu mbona. Umesahau hakuna anayejua siku ile umeenda kumsajiri yule miss bombadia kumbe tayari ashasajiriwa tyari, vurugu lae nishukuru nilikuja na msafara wa kamando sirozKumbe nyie hamna siri unayoyaonaa wewe weka kwapani
...siku anko akitishia kukuacha ninamsema kwa askofu Gwajima na Mange Kimambi, lazima arudi akuombe msamaha
Kwa hiyo kwapa limejaaa ujue bado sijapata wa ubavu kipande hii unachafua ubao....nimeweka kwapani mengi tu mbona. Umesahau hakuna anayejua siku ile umeenda kumsajiri yule miss bombadia kumbe tayari ashasajiriwa tyari, vurugu lae nishukuru nilikuja na msafara wa kamando siroz
Hataki usumbufu kitu dubwaaaaaaaa
Anko baadae....yaani sio dubwaaaaaa ni chubwiiiiiiiiiii maji yanaruka na sauti za prakatarumbaaaa atumbaaaa zinasikika kuongeza ladha
![]()

Nimeaminiii uko vizuri mimi anavoshinda na maka nkajua lake au mnashare
Vyoteeee huyo huwa anasema humu akiwa na mwanamke akiagiza vinywaji ajilipie mwenyewe
Ila usinifananishe na yeye mambo ya fanta na kujilipiaa![]()
![]()
![]()
Kikubwa ni uzima tu binamu ndio ninachotaka atekwe ajiteke yote heri