Makapuku Forum

Makapuku Forum

....yaani sio dubwaaaaaa ni chubwiiiiiiiiiii maji yanaruka na sauti za prakatarumbaaaa atumbaaaa zinasikika kuongeza ladha
tenor.gif
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
makaveli10 nilimtishia kuwa nimemfanyia tego mpenzi wangu kwa hiyo tusilaumiane, yaani hata akipeleka kidole pendwa kinanasa. Sitaki mchezo mimi, ukijidai kupima oil kuangalia friction itakuwaje imekula kwako.

na ile dawa mganga alikufa akanipa sharti moja tu, kumsaidia aliyenasiana ni kumkata kiungo kilichonasia, siku akianzia chumvini ninakuja na msumeno
Ahahahhahahahahaha
 
.....dunia ya Magu hii, usawa wa kijinsi na kijinsia. Me nachoweza kumsaidia ni kumvua tu, maana kuna wadada wanavaa nguo za kubana hadi unajiuliza atavuaje bila kumsaidia
Mfyuuuuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pambana na hali yako
 
....hilo ndo la kushukuru na endelea kumuombea afanikiwe zaidi. Hajawahi kukusahau pamoja na kujiingiza majaribuni kila anapotaka
Ameen [emoji120] [emoji120] binamu namuombea kila siku iitwayo leo
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Back
Top Bottom