Makapuku Forum

Makapuku Forum

....yaani sio dubwaaaaaa ni chubwiiiiiiiiiii maji yanaruka na sauti za prakatarumbaaaa atumbaaaa zinasikika kuongeza ladha
tenor.gif
 
makaveli10 nilimtishia kuwa nimemfanyia tego mpenzi wangu kwa hiyo tusilaumiane, yaani hata akipeleka kidole pendwa kinanasa. Sitaki mchezo mimi, ukijidai kupima oil kuangalia friction itakuwaje imekula kwako.

na ile dawa mganga alikufa akanipa sharti moja tu, kumsaidia aliyenasiana ni kumkata kiungo kilichonasia, siku akianzia chumvini ninakuja na msumeno
Ahahahhahahahahaha
 
....hilo ndo la kushukuru na endelea kumuombea afanikiwe zaidi. Hajawahi kukusahau pamoja na kujiingiza majaribuni kila anapotaka
Ameen binamu namuombea kila siku iitwayo leo
 
  • Thanks
Reactions: Obe

Similar Discussions

Back
Top Bottom