Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwan nkilala ndo schati au
Duh.. haya sawa hatupaswi kuingilia mambo ya ndani, ila ni vizur ukiwa na mzee kwa bed ukaacha mambo mengine, kitandan sio pahala pa kwichi kwichi tu na kulala, ni mahala pa kuyajenga yenu, kuzungumza, kulitia penzi nakshi nkshi, kupanga mipango yenu, kujua siku imeendaje, taarifa za hapa na pale na kadhalika..

Nsamehe km nimekosea shemela.
 
...mpenzi, mimi na wewe hatuendagi guest, na pia sijawahi kumjaribu huyu Eva, mambo ya Eva muuliza mjomba wangu lee empire.

Ulaini wako kama keki ya tufaa nashindwa kukulinganisha na andazi la kifaransa (croissant), na ujue ulaini wako ndo unaonipatia ugumu mimi, you know like hard on hata uvccm wakimaliza election mimi bado nina erection kwa ulaini wako.

Unataka kusikia nini tena?
nilivyosikia vimetosha my love

Ujue Leo hujaniandikia kule



Husobe
 
788b905e9886d4d61fe3b0548b26eb46.jpg


Sakayo Twende mamie

Muwe na usiku mwema wote.
Sawa babe
 
Niache tu na umalaya wangu.. sasa nifanyaje kipindi hiki ambacho bado sijamuona mwanamke anaedeserve kumiliki huba langu.. nikufe na utamu wangu au!!?

Wanawake wenye hamuaminiki, naweza kujituliza wee umetufunga kumi. Wacha nile ujana mie, anaejipendekeza naweka tuu, akifika mwenyewe ntamkabidhi mali yake..
OK tumia salama condom kila wakati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom