makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,902
- 104,154
Yamejaa kinywani nayapunguza.. yamejaa sana, hajapatikana mmiliki..Unafanya mazoezi eeeh
Yamejaa kinywani nayapunguza.. yamejaa sana, hajapatikana mmiliki..Unafanya mazoezi eeeh
Bongo movie..Hivi mumeo si alisema mkalalemaka ujionee
Hapo umenena vyema!!!! We wasema kelebu na sio tekeNilijua tu mahaba yanakupeleka kasi.. haya basi sawa nimekuelewa, usije ukanipa kelebu bure maana mapenz yana nguvu kuliko winchi..![]()
![]()
Kaniruhusu nichati jamani mbona unagubu jamaniUache kulala uchat ili iwejeeee jaman
Sijui naonajeZa kinafiki eeh?![]()
Sawa shemela endelea kisubiri atapatikana tuHapana.. yapo haya ila hayajampata mtu sahihi wa kuyakoga kila mara..![]()
![]()
Una chat vipi sasaaa, hebu mchezee mumeo hukoooKwan nkilala ndo schati au
![]()
![]()
![]()
Kiporo cha mwaka juzi hichoo
BTW kwema tu karibu mkulu
Yamejaa kinywani nayapunguza.. yamejaa sana, hajapatikana mmiliki..
poleYaaani unazilabua hamsini kabisaaDada niache ujue![]()
Love you
Achana na Shunie huyo ni mchongaji sanaBongo movie..![]()
![]()
Nsamehe tumosa, shunie huyoo..
Muziki: Kombe La Mapenzi
...najiaminisha tu kuwa Kapuku wewe tunayeheshimiana sana humu japo hatuitani 'mkuu' uko salama kabisa na siku yako ilikuwa poa na sasa unajiandaa kuisaka Furahiday. Nakukumbusha tu leo kuna mechi za Futuhi, usisahau kuangalia maana babu mbahili kuliko yule mwenye mkono wa birika timu yake inacheza leo. Yeah, ni kama ndondo hivi so hapa banda umiza kuna tV set mbili, moja futuhi moja kuwaangalia Arsenal, natamani waweke na ya katuni au mapishi angalau kuangalia uandaaji wa chapati za Azam
Asante sana shululu kwa magazeti na zaidi kwa kubadilibadili avatar, hii ni Tanzania ya viwanda tunayoitaka, najua umekubaliana na Tumosa kuchukua maamuzi haya maana lee empire hafanyi kitu hadi Shunie akubali vinginevyo ni vita kali kama iliyowapatanisha Transcend na Sakayo pale T alipotaja kabila lisilo la S. Anyway, nitasema nini kwa kipenzi wangu, laini hadi kucha husna muba , asante kwa UF.
Tetramelyz umepotea au ndo honyemoon na moneytalk msimuone dumejeuri katulia tu, bado hajajiunga na makaveli10 anayesingizia kukatazwa na mama ilhali ndo fundi mkuu wa mfereji maringo, mkimuona Nyagei mtaasisi mwenzangu huyu mwambieni Gentries hajiiti Mond tena, na hata Madame S mtoto wa Pwani, sio ya Moro lakini anagombea UVCCM, utashangaa hata mzeewakungoa anajiita babu wakati hata mvi hana. Popote walipo, Jimena , Bitoz , BlessedHope , Clkey , werrason ,Mussolin5 , koncho77 , nawambia tu Ubongo Mpana yupo na anadaia ID zake zilizofichwa na watu wasiojulikana. Mndali ndanyelakakomu , eden kimario chelsea imefanya maajabu jana, Valentina , demi , EMMYGUY tunawahamu humu
Muziki sasa, ujue nini, Kapuku wewe ni mtu muhimu sana hapa Jukwaani na haijalishi kama jina lako nimeshindwa kuliweka hapa kwenye kipengele ninachokipenda zaidi, Muziki na ninakutakia heri usiku huu na kesho jua litawaka tena.
Twendee ukanichezeeUna chat vipi sasaaa, hebu mchezee mumeo hukooo
Muziki: Kombe La Mapenzi
...najiaminisha tu kuwa Kapuku wewe tunayeheshimiana sana humu japo hatuitani 'mkuu' uko salama kabisa na siku yako ilikuwa poa na sasa unajiandaa kuisaka Furahiday. Nakukumbusha tu leo kuna mechi za Futuhi, usisahau kuangalia maana babu mbahili kuliko yule mwenye mkono wa birika timu yake inacheza leo. Yeah, ni kama ndondo hivi so hapa banda umiza kuna tV set mbili, moja futuhi moja kuwaangalia Arsenal, natamani waweke na ya katuni au mapishi angalau kuangalia uandaaji wa chapati za Azam
Asante sana shululu kwa magazeti na zaidi kwa kubadilibadili avatar, hii ni Tanzania ya viwanda tunayoitaka, najua umekubaliana na Tumosa kuchukua maamuzi haya maana lee empire hafanyi kitu hadi Shunie akubali vinginevyo ni vita kali kama iliyowapatanisha Transcend na Sakayo pale T alipotaja kabila lisilo la S. Anyway, nitasema nini kwa kipenzi wangu, laini hadi kucha husna muba , asante kwa UF.
Tetramelyz umepotea au ndo honyemoon na moneytalk msimuone dumejeuri katulia tu, bado hajajiunga na makaveli10 anayesingizia kukatazwa na mama ilhali ndo fundi mkuu wa mfereji maringo, mkimuona Nyagei mtaasisi mwenzangu huyu mwambieni Gentries hajiiti Mond tena, na hata Madame S mtoto wa Pwani, sio ya Moro lakini anagombea UVCCM, utashangaa hata mzeewakungoa anajiita babu wakati hata mvi hana. Popote walipo, Jimena , Bitoz , BlessedHope , Clkey , werrason ,Mussolin5 , koncho77 , nawambia tu Ubongo Mpana yupo na anadaia ID zake zilizofichwa na watu wasiojulikana. Mndali ndanyelakakomu , eden kimario chelsea imefanya maajabu jana, Valentina , demi , EMMYGUY tunawahamu humu
Muziki sasa, ujue nini, Kapuku wewe ni mtu muhimu sana hapa Jukwaani na haijalishi kama jina lako nimeshindwa kuliweka hapa kwenye kipengele ninachokipenda zaidi, Muziki na ninakutakia heri usiku huu na kesho jua litawaka tena.

Mungu atakusaidia jamaan makaYamejaa kinywani nayapunguza.. yamejaa sana, hajapatikana mmiliki..
Muziki: Kombe La Mapenzi
...najiaminisha tu kuwa Kapuku wewe tunayeheshimiana sana humu japo hatuitani 'mkuu' uko salama kabisa na siku yako ilikuwa poa na sasa unajiandaa kuisaka Furahiday. Nakukumbusha tu leo kuna mechi za Futuhi, usisahau kuangalia maana babu mbahili kuliko yule mwenye mkono wa birika timu yake inacheza leo. Yeah, ni kama ndondo hivi so hapa banda umiza kuna tV set mbili, moja futuh Tumosa kuchukua maamuzi haya maana lee empire hafanyi kitu hadi Shunie akubali vinginevyo ni vita kali kama iliyowapatanisha Transcend na Sakayo[
Anaangalia mpira SakayoUna chat vipi sasaaa, hebu mchezee mumeo hukooo