makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,893
- 104,126
Sidhan kama ina mahusiano makubwa..Hiyo picha ya chinj sjaielewa
Sidhan kama ina mahusiano makubwa..Hiyo picha ya chinj sjaielewa
Kumbe hiyo ndio maana ya usiku!
Asante mkuu
Ulijua ni kwichi kwichi?
Kidogo mkuu..Unajua kuimba mkuu
Domo kama ufudu..
Kafanyaje..We naeee
Tayar kaka.. sisi kwetu jua linapozama siku ndio imeisha..
Okey,hivi huwezi kukwoti post yangu kama hii?
Muziki: Kombe La Mapenzi
...najiaminisha tu kuwa Kapuku wewe tunayeheshimiana sana humu japo hatuitani 'mkuu' uko salama kabisa na siku yako ilikuwa poa na sasa unajiandaa kuisaka Furahiday. Nakukumbusha tu leo kuna mechi za Futuhi, usisahau kuangalia maana babu mbahili kuliko yule mwenye mkono wa birika timu yake inacheza leo. Yeah, ni kama ndondo hivi so hapa banda umiza kuna tV set mbili, moja futuhi moja kuwaangalia Arsenal, natamani waweke na ya katuni au mapishi angalau kuangalia uandaaji wa chapati za Azam
Asante sana shululu kwa magazeti na zaidi kwa kubadilibadili avatar, hii ni Tanzania ya viwanda tunayoitaka, najua umekubaliana na Tumosa kuchukua maamuzi haya maana lee empire hafanyi kitu hadi Shunie akubali vinginevyo ni vita kali kama iliyowapatanisha Transcend na Sakayo pale T alipotaja kabila lisilo la S. Anyway, nitasema nini kwa kipenzi wangu, laini hadi kucha husna muba , asante kwa UF.
Tetramelyz umepotea au ndo honyemoon na moneytalk msimuone dumejeuri katulia tu, bado hajajiunga na makaveli10 anayesingizia kukatazwa na mama ilhali ndo fundi mkuu wa mfereji maringo, mkimuona Nyagei mtaasisi mwenzangu huyu mwambieni Gentries hajiiti Mond tena, na hata Madame S mtoto wa Pwani, sio ya Moro lakini anagombea UVCCM, utashangaa hata mzeewakungoa anajiita babu wakati hata mvi hana. Popote walipo, Jimena , Bitoz , BlessedHope , Clkey , werrason ,Mussolin5 , koncho77 , nawambia tu Ubongo Mpana yupo na anadaia ID zake zilizofichwa na watu wasiojulikana. Mndali ndanyelakakomu , eden kimario chelsea imefanya maajabu jana, Valentina , demi , EMMYGUY tunawahamu humu
Muziki sasa, ujue nini, Kapuku wewe ni mtu muhimu sana hapa Jukwaani na haijalishi kama jina lako nimeshindwa kuliweka hapa kwenye kipengele ninachokipenda zaidi, Muziki na ninakutakia heri usiku huu na kesho jua litawaka tena.
OK tumia salama condom kila wakati
ili nigundue nin kw mfano... Salama wakat napiga lita, wakati nanyonya papuchi, aahh.. niache tu mie.Ok ulikuwa wapi ulipotea sana ujue![]()
![]()
![]()
Ndo nimeitika sasa nambie
Ahasante nimekaribia
Wote ni wake za watuHivi mpaka sasa hakuna aliyetokeza ambaye yuko "singo"?
Kuweni siriazi "wadada" wa humu bhasi....
![]()
![]()
ili nigundue nin kw mfano... Salama wakat napiga lita, wakati nanyonya papuchi, aahh.. niache tu mie.



maka umenishinda aisee
Sema buanaNaogopa kusema nikijitokeza utasema wa tatu huyo..![]()
![]()
Bora nikaekama mondi domo
Duh.. haya sawa hatupaswi kuingilia mambo ya ndani, ila ni vizur ukiwa na mzee kwa bed ukaacha mambo mengine, kitandan sio pahala pa kwichi kwichi tu na kulala, ni mahala pa kuyajenga yenu, kuzungumza, kulitia penzi nakshi nkshi, kupanga mipango yenu, kujua siku imeendaje, taarifa za hapa na pale na kadhalika..
Nsamehe km nimekosea shemela.







Kitchen party iendeleeDuh.. haya sawa hatupaswi kuingilia mambo ya ndani, ila ni vizur ukiwa na mzee kwa bed ukaacha mambo mengine, kitandan sio pahala pa kwichi kwichi tu na kulala, ni mahala pa kuyajenga yenu, kuzungumza, kulitia penzi nakshi nkshi, kupanga mipango yenu, kujua siku imeendaje, taarifa za hapa na pale na kadhalika..
Nsamehe km nimekosea shemela.
Asiyesikia LA mkuu....![]()
![]()
ili nigundue nin kw mfano... Salama wakat napiga lita, wakati nanyonya papuchi, aahh.. niache tu mie.