Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyo Eva na Mimi nani mlaini sana?


...mpenzi, mimi na wewe hatuendagi guest, na pia sijawahi kumjaribu huyu Eva, mambo ya Eva muuliza mjomba wangu lee empire.

Ulaini wako kama keki ya tufaa nashindwa kukulinganisha na andazi la kifaransa (croissant), na ujue ulaini wako ndo unaonipatia ugumu mimi, you know like hard on hata uvccm wakimaliza election mimi bado nina erection kwa ulaini wako.

Unataka kusikia nini tena?
 
Kila shetan na mbuyu wake, najionea mapya, najionea maajab maangu sijawah penda hv popte kwenye ulimwengu, siwez elezea jns nnavyokuzmia, nikicheza na moyo wako nacheza na wangu pia, nafs yangu juu yako ishapotea, nashndwa jitetea, ka ultoroka pepon uzur uliokuenea. Ujue una nusu ya moyo wangu na nusu iliyobak kwangu yote nakupenda wew. Unajua langu, una mwez wangu, unatembea na roho yangu, c m2 wa madem tena we ndo michelle obama wangu. We ndo kiboko yangu.


Yamenitoka tuuu
Wacha weeeeh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom