Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Anaweza akakufungulia kesi ya defarmation kwa kukosea Jina languSakayo namwaminia sio wa mchezo mchezo


Anaweza akakufungulia kesi ya defarmation kwa kukosea Jina languSakayo namwaminia sio wa mchezo mchezo


Umemaanisha mimi auuu?
Kitambo humu kwema bandugu
Shunie
Nilijua tu mahaba yanakupeleka kasi.. haya basi sawa nimekuelewa, usije ukanipa kelebu bure maana mapenz yana nguvu kuliko winchi..Kama kuna mwalimu anisaidie, mwenyewe nimesoma memkwa....
Najua majina ya watu huanza na herufi kubwa.... Ni bora ukosee langu kuliko la mume wangu

Usiku nini?
...usiku sio giza linalotawala dunia wala ukimya unaotawala mitaa.Usiku ni muda unaotuonesha MATUMAINI ya kuionesha KESHO.
Tuwe na imani ya kuiona [CLOLOR=RED]IJUMAA![/COLOR]

.....sawa sawa, mimi muumini wewe ni imamu/mchungaji kabisa wa haya maeneo

![]()
![]()
![]()
Kiporo cha mwaka juzi hichoo
BTW kwema tu karibu mkulu






kakupita mpaka wewe mpenda viporoKwan nkilala ndo schati auHivi mumeo si alisema mkalalemaka ujionee
Ko nibaki constable eeehh!!! Basi SawaHahaaa...
Hapana mpenzi! Naomba uwe hivyo hivyo ulivyo.
Uache kulala uchat ili iwejeeee jamanKwan nkilala ndo schati au
Hapana.. yapo haya ila hayajampata mtu sahihi wa kuyakoga kila mara..Unafanya mazoezi eeeh

Kama ulikuwepo vileee...Anaweza akakufungulia kesi ya defarmation kwa kukosea Jina langu![]()
WoooooooooozaaaaaaaaHapana.. yapo haya ila hayajampata mtu sahihi wa kuyakoga kila mara..![]()
![]()



AminaUsiku nini?
...usiku sio giza linalotawala dunia wala ukimya unaotawala mitaa.Usiku ni muda unaotuonesha MATUMAINI ya kuiona KESHO.
Tuwe na imani ya kuiona IJUMAA!
EwaaaTuishi miaka million...![]()