Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Uwezo wangu wa kuona umeishia hapa mume wanguuu!!!! Sio kwa simu hii!!!! Unaonaje Tukalale
Uwezo wangu wa kuona umeishia hapa mume wanguuu!!!! Sio kwa simu hii!!!! Unaonaje Tukalale
Futuhi tena.... Au futuhi ni timu TumooUcku mwema jamani naenda msaidia baba wawili kuangalia futuhi(in Obe's voice)
Usiku Mwema
Ameen, inshaallah shunie.Mungu atakusaidia jamaan maka
Hiyo picha ya chinj sjaielewaSamatta ana kiu ya mafanikio.. kufeli kwake ni ile hali ya maisha tuu lakin si kupenda kwa kuridhika kama hashim.
Muziki: Kombe La Mapenzi
...najiaminisha tu kuwa Kapuku wewe tunayeheshimiana sana humu japo hatuitani 'mkuu' uko salama kabisa na siku yako ilikuwa poa na sasa unajiandaa kuisaka Furahiday. Nakukumbusha tu leo kuna mechi za Futuhi, usisahau kuangalia maana babu mbahili kuliko yule mwenye mkono wa birika timu yake inacheza leo. Yeah, ni kama ndondo hivi so hapa banda umiza kuna tV set mbili, moja futuhi moja kuwaangalia Arsenal, natamani waweke na ya katuni au mapishi angalau kuangalia uandaaji wa chapati za Azam
Asante sana shululu kwa magazeti na zaidi kwa kubadilibadili avatar, hii ni Tanzania ya viwanda tunayoitaka, najua umekubaliana na Tumosa kuchukua maamuzi haya maana lee empire hafanyi kitu hadi Shunie akubali vinginevyo ni vita kali kama iliyowapatanisha Transcend na Sakayo pale T alipotaja kabila lisilo la S. Anyway, nitasema nini kwa kipenzi wangu, laini hadi kucha husna muba , asante kwa UF.
Tetramelyz umepotea au ndo honyemoon na moneytalk msimuone dumejeuri katulia tu, bado hajajiunga na makaveli10 anayesingizia kukatazwa na mama ilhali ndo fundi mkuu wa mfereji maringo, mkimuona Nyagei mtaasisi mwenzangu huyu mwambieni Gentries hajiiti Mond tena, na hata Madame S mtoto wa Pwani, sio ya Moro lakini anagombea UVCCM, utashangaa hata mzeewakungoa anajiita babu wakati hata mvi hana. Popote walipo, Jimena , Bitoz , BlessedHope , Clkey , werrason ,Mussolin5 , koncho77 , nawambia tu Ubongo Mpana yupo na anadaia ID zake zilizofichwa na watu wasiojulikana. Mndali ndanyelakakomu , eden kimario chelsea imefanya maajabu jana, Valentina , demi , EMMYGUY tunawahamu humu
Muziki sasa, ujue nini, Kapuku wewe ni mtu muhimu sana hapa Jukwaani na haijalishi kama jina lako nimeshindwa kuliweka hapa kwenye kipengele ninachokipenda zaidi, Muziki na ninakutakia heri usiku huu na kesho jua litawaka tena.

Unaguna nin!!?
Mh!Silengi vichwa.. miguu tu na makalio..
Aisee mtaan nikapata jina la dereva wa mwendokasi a.k.a transporter.. gari inaruhusu kutembea ni wewe tu na roho yako, haichagui barabara. Huwazi mchanga wala tope..Nissan Gari Tamu sana.
Kwenye kona unakula uko 200kph
Unajua kuimba mkuuKila shetan na mbuyu wake, najionea mapya, najionea maajab maangu sijawah penda hv popte kwenye ulimwengu, siwez elezea jns nnavyokuzmia, nikicheza na moyo wako nacheza na wangu pia, nafs yangu juu yako ishapotea, nashndwa jitetea, ka ultoroka pepon uzur uliokuenea. Ujue una nusu ya moyo wangu na nusu iliyobak kwangu yote nakupenda wew. Unajua langu, una mwez wangu, unatembea na roho yangu, c m2 wa madem tena we ndo michelle obama wangu. We ndo kiboko yangu.
Yamenitoka tuuu
Sheikh ijumaa tayar ishaingia mufti..Usiku nini?
...usiku sio giza linalotawala dunia wala ukimya unaotawala mitaa.Usiku ni muda unaotuonesha MATUMAINI ya kuiona KESHO.
Tuwe na imani ya kuiona IJUMAA!
Ujue siri ni kwa mtu na mtu.. ni siri kwa wewe na wengine tusiochunguliana, kwa wengine si siri tunaopena raha za miili yetu si siri..
Hata wew ni sehem za sir kwa sisi, ila kwa obe na waliojig jig kabla ya obe si sehem za siri kwao..![]()
![]()
![]()

Mie huwa naondoka kabisaa jf... Yaaani hata mwezi hanioniii
We naeeemaka unamsikia husna
Sheikh ijumaa tayar ishaingia mufti..
Bado kiiidogo