Makapuku Forum

Makapuku Forum

TUOMBE*
Tunakushukuru kwa kutufikisha siku hii ya leo. Baba zidi kutupigania, tupiganie katika kazi,biashara,Familia,Maisha na Mahitaji yetu mbalimbali. Tunajitakasa Kwa Damu ya YESU. Tunateketeza,Ng'oa na kuharibu kazi za shetani kwa Moto wa Roho Mtakatifu. Eeh Mungu kumbuka Taifa letu na watu wake, tuongoze kila tutakapo kuwa leo.ponya wagonjwa na wape faraja wafiwa,angalia wajane,wagane,yatima na wenye mapito mbalimbali uwe pamoja nasi siku yaleo Roho Mtakatifu kaa nasi utuongoze, Ni katika Jina la Yesu tunaomba,tukiamini na kushukuru Amina.

SIKU NJEMA FAMILIA ,MUNGU AWABARIKI SANA
Ameen
 
Duh.. mwanangu una nongwa mtoto wa mganga akasome..

Sasa aliyekwambia mim nataka bikra nani..
Nshakwambia mimi sipo kwenye amature nacheza legendary level..

Huyo mtoto bikra gani anayo labda ya sikio, katoto kanajua kuchagua mpaka mwenye mwanya..


Wacha nihangaike na migume gume
Leo umenigeuka uko upande wa lee sio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom