Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Shikamoo babuMjukuu wangu!!!
Mmh kaka ako nimemshindwa ana wengiKwa my kaka mond![]()
![]()
Najua dada angu hujambo ujue nimemiss sauti yakoSijambo mdogo wangu mie
Safi za wewe
bora ndugu, achana nae huyuHmmmm..... Sijakupatapata hapo rafikii
Mama mwanya mzima kipenzi
Kwahiyo upo na nani etiiMmh kaka ako nimemshindwa ana wengi
Mama N nimewamiss mapacha wako ujue ebu niwekee jamanSijambo mdogo wangu mie
Tulia basi shoga, wakati ukifika nitawatambulishaKwahiyo upo na nani etii
Na utasubiri sana mfyuuuu zakowoiiii husobe
Aii jaamaaniMmh kaka ako nimemshindwa ana wengi
Shemela za mchanaMmh kaka ako nimemshindwa ana wengi
GoodMama kaamuaalipo mama nipo nyuma yake
![]()
Kawaida tuSema akii ya obe ...
Sasa husna mbona mnampa wakati mgumu
Shubamiti zako weeHusna hawezi kuwa na wakati mgumu baba d ujue sababu anajua mama na binamu obe wametoka wapiii mpaka leo wapo wote
Maka sijambo jaman nakupenda piabikira ya kuchorwa
mtoto wa kike wivu utakuua