Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,621
Shem za jumapilihapo kwenye wifi umeniacha njian
mnapenda kuchonganisha nyie
Niambie mama JJBaba wawili heshima yko
MtimaAbeeee
Nko poa,vp waendeleajeNiambie mama JJ
NpoMtima
Wee naeee pendekaaahapo kwenye wifi umeniacha njian
Shem za jumapili
Vip mbona umefurahi
Shika za kwakoo kabla hujashikiwaaShikamo
Wa mwisho wa kujua nini tenanakuwa wa mwisho kujuaa
yakwepe hivyo hivyo maka sio mazuri ujueWewe, hata uniambie mchanga mtamu nalamba..
Hayo ndio nisiyoyataka mimi, nayakwepa ndugu yangu.
Msalimie mumeo shululu ndio ana shida na hizo shikamooShikamo
Umeanza eeenh na hizo mambo baba dWee naeee pendekaaa
Binamu yuko wapiiWa mwisho wa kujua nini tena
Habar ya kanisaniNawasalimu tu mimi katika jina la Bwana Yesu Kristo