makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,897
- 104,134
Yote tisa, 10, ndugu yangu kama una usingiz wa kutosha nipunguzie hata wa jero tuu ndugu yangu..

Yote tisa, 10, ndugu yangu kama una usingiz wa kutosha nipunguzie hata wa jero tuu ndugu yangu..

Ona hili toto jingine la kigamboni.. kama we ni msukuma gozi mzur ukiwa unamjua chumu cha boli a.k.a de gea au tuga.. basi hao ukiwaulizia makaveli tuu, umefika joh.......mitaa yangu ya mazoezi hiyo nikija mjini, maveterani wa viwanja vya shababi jirani na hospital
Hahahaaa pole bado sijaupataYote tisa, 10, ndugu yangu kama una usingiz wa kutosha nipunguzie hata wa jero tuu ndugu yangu..![]()
![]()
Hahaa.. basi poa, tuendelee kupiga soga humu na kumtafuta huyu usingizi mpaka apatkane.Hahahaaa pole bado sijaupata
OkyHahaa.. basi poa, tuendelee kupiga soga humu na kumtafuta huyu usingizi mpaka apatkane.
Haya, anza kuketa za kwako, zikiisha km bado usingiz haujapatikana ntaleta za kwangu.
Nitakutafuta ndugu yangu...Aahh.. teh teh teh teh, kama ndio hvyo basi ushafika cz hapo ndio home ndugu yangu, ile hospital siku hizi inaitwa grette, sasa uapnde wa pili ndio home, kuna kijumba kinavigae vyekundu, mbele kuna banda la chips hv, mara nyingi kuna kinisani patrol kimoja kinapaki, basi hapo ndio maskan, ukiniulizia makaveli hapo, unaoneshwa hata na bata![]()
![]()
![]()
Karibu sana ndugu yangu, ntafurah sana siku ukifika, ni jambo jema kufahamiana
Ntafurahi ndugu yanguNitakutafuta ndugu yangu...
Shunie please pizza buy for me![]()
Sakayo ! Sakayo!
Naomba ukaninunulie Pizza.![]()
Hello mumyNitakutafuta ndugu yangu...
Nyagei vipHello mumy