Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Hi son umepotea my son,ukp wapi....nakumis sana karibu kapukuHello mumy
Dingi mi niko poa kabisa tatizo lipo linahitaji msaada wako hata kama we ni dingi hewa acha nikupe hili jukumu ulishughulikieMorning
Aka toto jingaaa
AminaNtafurahi ndugu yangu
Mama mpigie mwanao jamani nimemuachaa kanunaa ata kusema tatizoPole utakuwa sawa tu kuna wakati huwa inatokea
Ndo maishaaaAsante kaka,nashkuru aisee.
Kama pesa kaliambiee limama lako linalokuleaa na kukupa kiburiiiiDingi mi niko poa kabisa tatizo lipo linahitaji msaada wako hata kama we ni dingi hewa acha nikupe hili jukumu ulishughulikie
Msalimie shunie wako arif, nakapenda saana.Ndo maishaaa
Kama pesa kaliambiee limama lako linalokuleaa na kukupa kiburiiii
naona dingi unataka kukwepa majukumu kwa visingizio visivyo na kichwa wala mguu.
Wewe shunie wangu anakuhusu nini ....kumpenda si umemkosa moneytalk na bikira lakeeMsalimie shunie wako arif, nakapenda saana.

Dingi sio pesa ila kama unazingua sio mbaya nikaendekea kupambana na hali yanguKama pesa kaliambiee limama lako linalokuleaa na kukupa kiburiiii
Chikamoo kaka mkubwaMsalimie shunie wako arif, nakapenda saana.
Hili litoto lilitukataa na kuanza kutunzwa na limazataiipuuuu ....tatzo lihuniii kama babu yake![]()
naona dingi unataka kukwepa majukumu kwa visingizio visivyo na kichwa wala mguu.
Mpigie mama ako ...Dingi sio pesa ila kama unazingua sio mbaya nikaendekea kupambana na hali yangu
Marhabaa mdogo wangu, vip hali!?Chikamoo kaka mkubwa
Pole,usifanye hivyo mnapoacha asubuhi unajua utokako hujui uendako baraka za mwenzako muhimu na kumuacha na amani muhimu no matter what my son..nawapenda ndio maana nawaambia maisha hayana uhakika wa kuwepo hata sekunde moja tu mbele yako TUPENDANEMama mpigie mwanao jamani nimemuachaa kanunaa ata kusema tatizo

Mama nahisi hayuko sawa kwani huna taarifaMpigie mama ako ...
Ndo sasa mama umpe maneno hayo kabisaaaa ....mm sijamfanya kibaya chochotePole,usifanye hivyo mnapoacha asubuhi unajua utokako hujui uendako baraka za mwenzako muhimu na kumuacha na amani muhimu no matter what my son..nawapenda ndio maana nawaambia maisha hayana uhakika wa kuwepo hata sekunde moja tu mbele yako TUPENDANE![]()
![]()
Mi niko poa kaka mkubwa ila sijanywa chai fanya mpango wa jero nikapate chaiMarhabaa mdogo wangu, vip hali!?