Makapuku Forum

Makapuku Forum

Anko bhana, hizi ni siri za ukoo, mbona mimi sijawaambia kuhusu ile iPhone X uliyomnunulia teller zawadi ya beside tuyuu.

Wakati simu ya aunt yangu ukifanyia marekebisho ni kuibadili battery au cover. Ila umefanya vizuri kumnunulia cover la pink la kuwekamweka
Woyoooooo.....
 
Haya ya teller umeyatoaa wapiii

Ujuee aunt yako ana moyo ....alafu kakudanganyaa siku hiz ana mabwana wengine

Ila pole sana kwa kuwa wewe ndo umeanza kuvunja katiba yetu wacha tu queen afaidii ...yaaan posho yote ya polin umemkabiz yeye na wallet wewe kibokoo

Ila huyu aliyekunyanganya simu ni kibokoooo....na badoooo na ile njia huwez pita tena
I can smile
 
.....basi huwa nikisikia sauti ya mzeewakungoa huwa nakereka sana, inakoroma sana.

Ila nikisikiaga maandishi ya husna muba huwa nasikia sikio kutekenywa, yaani kama umetegesha sikio kwenye kalio na mwenye kalio zuri akaachia ushuzi. Yaani utamu utakaosikia kunong'onezwa kumesingiziwa
umejua kunchekesha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom