Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Kama veep kujifanya mtoto jamaan kumbe umezaliwa enzi za tanuChikamooo mzee wa saa ya zamani
Kama veep kujifanya mtoto jamaan kumbe umezaliwa enzi za tanuChikamooo mzee wa saa ya zamani
Na mm namuona sio mzuriiiHizo habari zinahusu nini sasa hivi mke mwee au kutaka kunivuruga
Ebu niambie baba d jamaan ni kweliBinamu ni mbaya wako kitambo ...na lengo tuachane
Nashukuru hela za kuongea![]()
![]()
![]()
![]()
marhabaa
Sijambo mieDadakee chikamooo
Na lile tako la mkaanga sambusa vip.....basi huwa nikisikia sauti ya mzeewakungoa huwa nakereka sana, inakoroma sana.
Ila nikisikiaga maandishi ya husna muba huwa nasikia sikio kutekenywa, yaani kama umetegesha sikio kwenye kalio na mwenye kalio zuri akaachia ushuzi. Yaani utamu utakaosikia kunong'onezwa kumesingiziwa
Njema nawaona mnalisongeshaWazima kaka akee za wewe
Yupi Tumosa?![]()
![]()
ni Tambulisho kwa mgeni
Usicheke mi mshamba najua wote huku mjini nikuwaamkia shikamoonimecheka wallah
Asante mkuu habari ya kulisongeshaWazima
Nime re-install jf app lakini bado?Sio wewe tu, hili ni janga la jf
Achaa mdomooBinamu ktk ubora wake
Haya ya teller umeyatoaa wapiii
Ujuee aunt yako ana moyo ....alafu kakudanganyaa siku hiz ana mabwana wengine
Ila pole sana kwa kuwa wewe ndo umeanza kuvunja katiba yetu wacha tu queen afaidii ...yaaan posho yote ya polin umemkabiz yeye na wallet wewe kibokoo
Ila huyu aliyekunyanganya simu ni kibokoooo....na badoooo na ile njia huwez pita tena
BabySio mzungu wa 7 kila mtu na chumba chake
Aaah dingi nataka niwaletee thawadiChacha wewe litoto si ulikimbia nyumban ...mamako hayupo
Nisharudi...



Hebu nipe taarifa anakuja kwa staili gani huyuUjue wewe bado mgeniii kabisaa ....na sisi tuna list ya wabaya wetu
Ata siku badooo unataka tukujumuishee