Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hello there..Afu shunie wewe ndo unamponza shemela
Hello there..Afu shunie wewe ndo unamponza shemela
Kwaniii uongoooo ...simu ulikoseaa wewe yule tena bibi kabisa anakushindaje akiliiAnko, hii nilijua tutalifanya Siri, unataka kunifanya nipewe talaka , si wiki imekaribia kuisha😀
Ndio weweMie tena
Chikamooo mzee wa saa ya zamani
Natumia simu mkuu..Pole sana bro Pambana tuu..
Usi uninstall Jf tumia tu Web kama hutumii pc
Hata mie namuona baba dUjue wewe bado mgeniii kabisaa ....na sisi tuna list ya wabaya wetu
Ata siku badooo unataka tukujumuishee
Sio vizuri
Swty sio kweliiEbu niambie baba d jamaan ni kweli
Jamaniii mm kila nikisoma text zenu nakua kama nasikia sauti zenu vp nanyi mwasikia?





Binamu ni mbaya wako kitambo ...na lengo tuachane
Binamu buguruni nitoe nilipita kukusindikizaaaIle njia kama sio mbio tungesema mengine maana wahamiaji haramu wamejaa, unashindwa uingie wapi utokee wapi. Wamejipanga kama yale maeneo yetu pendwa ya buguruni
Ebu niambie ukweli baba d kuhusu kuhonga hiyo iPhone ×Baby
Kampelekee lile limama lililokutekaaAaah dingi nataka niwaletee thawadi
Dada hii ni njia ya kuingilia humu kuwa huru usinifikirie vibayaKama veep kujifanya mtoto jamaan kumbe umezaliwa enzi za tanu
Nawaona nawaonaaaaLile la mastory whatsapp
Mgeni
Namuoana wee muachee kwanzaHebu nipe taarifa anakuja kwa staili gani huyu
Nafurahi kusikia mzima dadakeSijambo mie