Makapuku Forum

Makapuku Forum

73061e935c959e33571760f8c8af4afd.jpg

Bomu la nyuklia ni bomu baya mno
Ndilo bomu linaloongoza kuwa na mlipuko mkubwa kuliko mabomu mengine
Sote tunakumbuka kilichotokea katika mji wa hiroshima Japani wakati Wamarekani walipolitumia

Mpaka leo Wajapani hawataki kujiingiza katika vita kabisa na kama taifa walisaini mkataba wa kutoiingiza nchi katika vita tangu wakati huo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom