Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwangu mimi PM sio ishu kama nina kitu siriazi huwa namfuata mtu mfano mtu kapatwa na tatizo kasema hapa basi namfuata kumfariji n.k

Ila kuwa na urafiki na mtu nje ya Jf ndio ishu maana sio rahisi mimi kumpa mtu # yangu hata awe demu tutachat PM na kama nimenogewa naweza kuonana nae lakini simpi # wala kupiga selfie kibpyaboya tu

.......
aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom