makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,852
- 103,974
Hapana, mim c mfuas..Mi nilikuwa nadhani na wewe ni miongoni mwa wale wanaosema kuita matembele ni matusi.
Tycoon MAKAVELI Jr.
Hapana, mim c mfuas..Mi nilikuwa nadhani na wewe ni miongoni mwa wale wanaosema kuita matembele ni matusi.
Mbavu zangu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
......

Fresh, namshukuru mungu.. umeamkaje joh..
Sawa kabisa... Unaweza anzisha ww3Bora useme hvyo babu..
Jandoni ulinifunza mke wa swahiba wangu ni sumu kutafuna
Tycoon MAKAVELI Jr.
Yako umeyatia kwenye sidiria, yawenzio ndio kushadadia...
Ndio maana ukilala unakabwa wee![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.

Togwa la ngomani hilo..Sio Obe tena.... Ameshahamia kwa toz?
Ndio ivo
Hapa nilipo mbavu zinauma hadi wifi ako ananishangaa navyocheka
Jamaa kanichekesha
![]()
![]()
![]()
.......
wifi!!!!nzuri Shululu... TunayasubiriZa asubuhi makapuku wote, natumaini tumeamka salama
Ni kwa Obe
Tozi nae kapita.. obe nae kapita..
Dah.. kariakoo bado kuna nyumba za udongo..Mitaa ya cinema pale msasani