Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Eti shemela kijichi kwao si ushuani kule
Eti shemela kijichi kwao si ushuani kule
Poa ppa jiraniJonax yupo, yupo majukwaa mengine
Kwangu mimi PM sio ishu kama nina kitu siriazi huwa namfuata mtu mfano mtu kapatwa na tatizo kasema hapa basi namfuata kumfariji n.kPM gani mkuu prime minister au post meridiem..![]()
sina utaratibu wa kumuibukia mtu huko.. yote yanaishia hapa labda iwe ishu siriaz saana
Kama wapo humu humu sawa hamna tatzo.. mie nlijua hawamo kabsa.
Tycoon MAKAVELI Jr.
Umeulizwa.. kwan shululu hajaiona yako.. kah.. mtoto una kisebu sebu na kiroho papo..
![]()
![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.






anaonekana kwa nadra sana!Jonax yupo, yupo majukwaa mengine
Wamekusikia hao mademu msg sentKwangu mimi PM sio ishu kama nina kitu siriazi huwa namfuata mtu mfano mtu kapatwa na tatizo kasema hapa badi namfuata kumfariji n.k
Ila kuwa na urafiki na mtu nje ya Jf ndio ishu maana sio rahisi mimi kumpa mtu # yangu haya awe demu tutachat PM na kama nimenogewa naweza kuonana nae lakini simpi # wala kupiga selfie
![]()
![]()
![]()
.......
Sio kwa buku jaman nimekuwa mtoto nataka kununua lolipopWe unataka hela gani!?
Tycoon MAKAVELI Jr.
Nini sasaaa
Akhuu me sio mtotoYa nauli![]()
![]()
Acha wivuuuNa mimi je nimrudishe wa mwanzo![]()
Hakajazaliwa hata kuzaliwa..Enzi hizo wewe uko usambaani
Hamna kubadili avatarNini sasaaa
Niliwaona sana, unajua mimi na shemeji yako hatujawahi kugombanaShemej yako alikuwa anakuchimba swahiba.. yeye na yule mwenzie kizabizabina husna muba..
Wanasema wee hujaenda tanga, bila ya mimi ndoa yako leo asubuh ingekuwa tayar past tense![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.
Toka huko.. we umekuja na gar la taa 1 nani asiyejua..Me born here here shemela sijaja na fuso ujue
Ila sijamlenga mtuWamekusikia hao mademu msg sent
Acha wivuuu




nilijua tu halaf jana kumbe ulinipigia mchana ile simu nimeishika usiku nakuta missed call
Me ni muhenga ujue muulize sakayo nipo kwenye 40 plusHakajazaliwa hata kuzaliwa..
Tycoon MAKAVELI Jr.
Mimi kweliiii wa kumchimba shemela wangu maka usitake kunigombanisha na shemela wangu huyu mtu muhimu kwangu ujueShemej yako alikuwa anakuchimba swahiba.. yeye na yule mwenzie kizabizabina husna muba..
Wanasema wee hujaenda tanga, bila ya mimi ndoa yako leo asubuh ingekuwa tayar past tense![]()
![]()
Tycoon MAKAVELI Jr.