shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
Kule kama ushuani na Bagamoyo road wasemeje sasa kwa mfanoMbona wenyewe kule wanapaita ushuani
Kule kama ushuani na Bagamoyo road wasemeje sasa kwa mfanoMbona wenyewe kule wanapaita ushuani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106]Aahh.. ndio maana, nikawa najiuliza mbona huyu binti mswahili mnoo. Upashukunu umemjA tele km pishi la mchele kumbe ni mbagala 1..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bas we jiran yangu... siku nikipita mbagala nikakabwa na kiu hata siingi gharama ya kununuA maji.. nakuja kwenu unanipa jagi najipigia, na ya ziada nabeba[emoji23] [emoji23]
Tycoon MAKAVELI Jr.
Kwahiyo maka unanibishia mie mwenye miaka yangu40s masihara nin.. hebu ntokee mie.
Tycoon MAKAVELI Jr.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hatari sana aisee
Lee jeAhahha yaan hiyo kwa ajili ya sakayo ujue hamna mtu ninayewasiliana naye kwenye hiyo no zaidi ya dada tu
Wawili shemelaUna wajukuu wangapi
Shunie mzima...?Mornie mzee wa jani la kijani
Muhimbili ya ilalaHata.. nambunjumbwale huko kuna muhimbili pia..[emoji23] [emoji23]
Tycoon MAKAVELI Jr.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kule kama ushuani na Bagamoyo road wasemeje sasa kwa mfano
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hapana dada nakataaje uzee lakini si ndio nilipo sasa hivi ebu rudisha ile avatar nini lakiniii
Lee tigoLee je
Na drive in sinema now pamejengwa ubaloziMitaa ya cinema pale msasani
Mzima mie mkushi wewe jeShunie mzima...?
MorningMornng Wazee
Sio mara ya kwanza, kila siku, itabidi afungiwe shingoni awe anatembea nayoSio haipendi anajua kabisaa ndo nampataga humoo... Ananifanyia kusudi tuu
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Husna babu..
Tycoon MAKAVELI Jr.
AvatarWapii tena
Wewe mgeni bhana..Shemeji Karibu hii vipi?mie mgeni humu kwani?
Hawezi kabisa shemelaIla namuona maka shemela anataka kutugombanisha ujue
Yaani najitafuta sijielewi...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana eti unajitafuta ujue we ni chizi dada yale mambo tumejizoelea wenyewe ujue na kina maserati