Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia

1960 - Ni siku ya Uhuru wa Chad.
a556c49cb85e6805500660eb26fcabdb.jpg
14d67e108b5865e4c627166a04aebcff.jpg
2aeaedbdd110d157ecb508566427fbdd.jpg

Wafaransa qaliingia huko kulifanta koloni lao mwaka 1900
Ipo upande wa katikati ya Afrika hivyo wakaiita French Equatorial Africa
.....
 
Hili swali nimelichoka Jimena ...na sijui kwa nini watu wanafikiria negative... Kuna watu wanajiita muosha rungu mwengine nanaanto........nashindwa Kumalizia. Hivi hawa wanaulizwa.... Nikiulizwa na mtu mwingine ntatoa sadaka likes zangu nafungua Id mpya.
.. Sijakasirika lakini Jimena kuwa na amani full.
Hehehehe
Wote wanaweza kuwa wanaulizwa!

Njia rahisi ya wewe kuepuka swali hilo ni kubadilisha jina, kujibu kila mtu atakaeuliza au kufungua uzi maalumu kuelezea maana ya hilo jina ili mtu akiuliza tu umtag hapo apate kuelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom