Makapuku Forum

Makapuku Forum

Sikia bibie we sote watu wazima, haina haja ya kuuzunguruka mbuyu na maneno ya kihengo, cz hata nitumie misamiati gani dhumuni ni lile lile..

umeona mjumba wote huu, nmechoka kulala km mlingoti, daily nakuona unapita hapa, leo nmeona nivunje ukimya.. kila ukipita mie hoi, hicho kijungu, kasura kako kazur kalikopambwa na macho lain, pua ya kikabacholi na huto tulipsi twako, navurugwa kabisa bibie..


.....utasema kavaa pampasi
Jamani me napita nimesikia niwasalimie, endeleeni na yenu na mimi napambana na hali yangu
 
Loh! Naona wapoteza mudawo!! Hata sikuelewi, muone[emoji16][emoji16][emoji16]

Madame S
Kuelewa unaelewa ndio maana ukajua km mie nataka nin, ingekuwa nmekwambia nakupenda halafu ukanipmaandaz ningejua kweli hujaelewa..[emoji23] [emoji23]

Mkubwa wewe bwana sio mpaka uchezwe ngoma ndio ujielewe km umekuwa, hebu fanya maamuz ya kikubwa nikusifu..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anakuhadaa maana mume wangu anamjua huyo kua makini tu

Madame S
Hawez kuwa na roho ya kike akaenda kuyabandika matangazo yetu posta bibie..

Na ndio maana nkakwambia usogee karbu tuzungumze vzur na c kutupiana maneno km usa na north korea.
 
Hawez kuwa na roho ya kike akaenda kuyabandika matangazo yetu posta bibie..

Na ndio maana nkakwambia usogee karbu tuzungumze vzur na c kutupiana maneno km usa na north korea.
Una nn lakini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nalala mie usiku mwema muda wa Bailly5 sasa

Madame S
 
Back
Top Bottom