Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,278
- 35,639
Sikia bibie we sote watu wazima, haina haja ya kuuzunguruka mbuyu na maneno ya kihengo, cz hata nitumie misamiati gani dhumuni ni lile lile..
umeona mjumba wote huu, nmechoka kulala km mlingoti, daily nakuona unapita hapa, leo nmeona nivunje ukimya.. kila ukipita mie hoi, hicho kijungu, kasura kako kazur kalikopambwa na macho lain, pua ya kikabacholi na huto tulipsi twako, navurugwa kabisa bibie..
.....utasema kavaa pampasi
Jamani me napita nimesikia niwasalimie, endeleeni na yenu na mimi napambana na hali yangu

