Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi toka uanze kutumia Id hii umeshang'oa wangapi hadi sasa??
Hili swali nimelichoka Jimena ...na sijui kwa nini watu wanafikiria negative... Kuna watu wanajiita muosha rungu mwengine nanaanto........nashindwa Kumalizia. Hivi hawa wanaulizwa.... Nikiulizwa na mtu mwingine ntatoa sadaka likes zangu nafungua Id mpya.
.. Sijakasirika lakini Jimena kuwa na amani full.
 
Wataka nifike hadi wapi sasa kusogea huku ongea tu mbona nakusikia bila mikwaruzano

Madame S
Mtongozo unaanzaga HV HV
Siusogee hata hapa karibu, tunaongeaje sasa wewe uko makkah mie madina...

Ya nin kuongea mbali mbali tunatupiana maneno kama vibirit ngoma wanagombea bwana.. sogea hapa uketi tafadhali madame

Mazungumzo gani had tuwe so close hivo??

Madame S

Jamani ninacheka mimi jamani una maneno sana, nakusikiliza mkuu ongea tu nilale mie

Madame S
 
Leo katika Historia


1952 - Hussein Bin Talal anakabidhiwa rasmi Ufalme wa Jordan.
6c0cac7dc57ee4d3c95cfb1c315c3f80.jpg
ac09990abd87920a81bf49234ab4651e.jpg
d047fd6a7d2380d4b25ff7cf4dc4d6cf.jpg

Alifariki dunia mwaka 1999 akiwa na miaka 63
Hivyo inaonesha mwaka 1952 hakufikisha hata umri wa miaka 20
......
 
Sikia bibie we sote watu wazima, haina haja ya kuuzunguruka mbuyu na maneno ya kihengo, cz hata nitumie misamiati gani dhumuni ni lile lile..

umeona mjumba wote huu, nmechoka kulala km mlingoti, daily nakuona unapita hapa, leo nmeona nivunje ukimya.. kila ukipita mie hoi, hicho kijungu, kasura kako kazur kalikopambwa na macho lain, pua ya kikabacholi na huto tulipsi twako, navurugwa kabisa bibie..
Mtongozo Wa kianalogia huu
mie mke wa mtu jamani

Madame S

Kama una usingiz kalale ndugu yangu.. hapa natafuta wa kupoteza nae muda sina usingiz hat chembe, ndio kama kumekucha vile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom