Makapuku Forum

Makapuku Forum

Babu jamaan shikamoo nimekumiss nini shida mbona unapotea hivi nanii kakuteka babu yetu halaf kuna mtu nimemkuta siasani anatumia avatar kama yako nilijua wewe kuangalia jina sio babu yangu
Marahaba Mjukuu wangu... Sijatekwa mjukuu wangu mambo ya dunia si unajua siku nyingine speed zinazidi ...mimi pia nimekumiss mjukuu wangu.... Huyo aliyekopi avatar sasa hv namwachia
 
Kulala mimi nilishaaga nikikutwa huku itakua kesi bure na sipemdi kumkera yule kiumbe

Madame S
Aahhh.. nendaga bhana, wataka nikulaaambe wakat uroda tuenda kuupata wote, miuno nahangaika mie, papuchi niinyonye mie, nkuogeshe, nakufanyie sanaa zote mpaka utosheke halaf nikae nakubembeleza kama nabembeleza ajira ya uncle magu bhana.. haya nenda
 
Kwendraaaa.... mmhxxxhhuu##*#***#
4ZenZ9T.gif
 
Sikia bibie we sote watu wazima, haina haja ya kuuzunguruka mbuyu na maneno ya kihengo, cz hata nitumie misamiati gani dhumuni ni lile lile..

umeona mjumba wote huu, nmechoka kulala km mlingoti, daily nakuona unapita hapa, leo nmeona nivunje ukimya.. kila ukipita mie hoi, hicho kijungu, kasura kako kazur kalikopambwa na macho lain, pua ya kikabacholi na huto tulipsi twako, navurugwa kabisa bibie..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom