Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Asante shemejiSawa shemeji pole sana
Sawa babu nafurahi kama upo u mzima jamaan mjukuu wako nilikumiss tuMarahaba Mjukuu wangu... Sijatekwa mjukuu wangu mambo ya dunia si unajua siku nyingine speed zinazidi ...mimi pia nimekumiss mjukuu wangu.... Huyo aliyekopi avatar sasa hv namwachia
Amen, Asante kwa neno la uzimaNa ya pili ndio hii Mpende jirani yako kama nafsi yako kama nafsi yako hakuna amri iliyo kuu kuliko hizi
Yule mwandishi akajibu hakika Mwalimu umesema vema ya kwamba Mungu ni mmoja wala hakuna mwingine ila yeye
MARKO 12:31-31
Mbarikiwe sana muwe na asubuhi njema![]()
TehDuh.. kumbe mke wa mwanangu bailly5 haya poa bibie, nenda kwa aman na bwana akutangulie..
AmeniNa ya pili ndio hii Mpende jirani yako kama nafsi yako kama nafsi yako hakuna amri iliyo kuu kuliko hizi
Yule mwandishi akajibu hakika Mwalimu umesema vema ya kwamba Mungu ni mmoja wala hakuna mwingine ila yeye
MARKO 12:31-31
Mbarikiwe sana muwe na asubuhi njema![]()
.....utasema kavaa pampasi
Jamani me napita nimesikia niwasalimie, endeleeni na yenu na mimi napambana na hali yangu




kivurugeeee binamu kwenye ubora wako ule uleDada yupoo? Msalimie akiamkaAsante shemeji
Nipo poa sana kakaMi niko poa dadake
Wewe je?
Amen, Asante kwa neno la uzima

Amen dada tumshukuru mungu kwa kutupa pumziNipo poa sana kaka
Yupo, zimefikaDada yupoo? Msalimie akiamka
Sawa shemejiYupo, zimefika
Ni kweli kaka kikubwa ni uzima Mungu ni mwaminifu sanaAmen dada tumshukuru mungu kwa kutupa pumzi

Amen asante dadaNi kweli kaka kikubwa ni uzima Mungu ni mwaminifu sana![]()
Amen,nawe pia MtumishiNa ya pili ndio hii Mpende jirani yako kama nafsi yako kama nafsi yako hakuna amri iliyo kuu kuliko hizi
Yule mwandishi akajibu hakika Mwalimu umesema vema ya kwamba Mungu ni mmoja wala hakuna mwingine ila yeye
MARKO 12:31-31
Mbarikiwe sana muwe na asubuhi njema![]()

Asantee alafu nisikie unalialiaaaBaba D mzee wa totoz naomba mr x jaman
AmeeeeniiiNa ya pili ndio hii Mpende jirani yako kama nafsi yako kama nafsi yako hakuna amri iliyo kuu kuliko hizi
Yule mwandishi akajibu hakika Mwalimu umesema vema ya kwamba Mungu ni mmoja wala hakuna mwingine ila yeye
MARKO 12:31-31
Mbarikiwe sana muwe na asubuhi njema![]()
Wakuuu kumekucha swalamaaaaaa. ..
Leo sitoweza kuweka vitu muhimu mapema. ..tukutane baadae
Nisipoonekana sio kwamba nimetekwa