makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,856
- 103,981
Morng jombaaMorning all kapuku
Morng jombaaMorning all kapuku
Leo katika Historia
1972 - Jeshi la mwisho la Ardhini la Marekani laondoka huko Kusini mwa Vietnamna kuhitimisha kushindwa kwa Marekani katika vita hiyo iliyopigwa kwenye misitu minene.
Nilipojua mkee wa swahiba wangu... ikabadilika ghafla toka kuwa dede na ngumu mpingo ikawa km plastic iliyopigwa moto..

























Nawe pia johView attachment 562995Asubuhi njema makapuku wote
Sjambo ollah
Sema ni hb hataree![]()
![]()
![]()
Alifariki dunia mwaka 1999 akiwa na miaka 63
Hivyo inaonesha mwaka 1952 hakufikisha hata umri wa miaka 20
......
Nafurah kujua hilo shem...Zamani lakini wakati bado mdogo..... Lol
Sikuhizi nimekuwa shemla
Saf tu, sijui zako bibieHabari ya asubuhi familia.....
Wee nawe umeanzA, una nongwa km mtoto wa mganga.Usiwe unapotea sana love, maana nanusurika kupigishwa sound
Madame S
Wee nawe umeanzA, una nongwa km mtoto wa mganga.



labda inawezekana mtoto wa mganga kweliBuheri wa afya! Kuwamiss tuSaf tu, sijui zako bibie
Leo katika Historia
2012 - Watu takribani 300 wanapoteza uhai mara baada ya kutokea kwa tetemeko la ardhi huko Tabriz, nchini Iran.
Nashukuru Mungu kwema kabisa
Khaa.. jaman simlikuwa wawili yann kuyaleta kwenye hadhar bibie..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
mbona Jana ulikuwa unanibembeleza et nikalale kwako!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
