Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Mr x wapi?!Shemela shululu naomba magazeti mie kumekucha
Mr x wapi?!Shemela shululu naomba magazeti mie kumekucha
Humjui au??Kijana gn huyo?!![]()
Si wewe na mpicha wako ule..Kijana gn huyo?!![]()
Hahaa... na kwann alegeze wakat vidume tumeumbwa kukaza..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kwahiyo akilegeza kalio anambwaga
Duh hii ilikuwa ni wap.![]()
Miundombinu na makazi yaliharibiwa vibaya![]()
Ila kwa wapigaji wa Kagera ingekuwa neema
....
Matatizo mengine ya kujitakia tuHehehehe
Wote wanaweza kuwa wanaulizwa!
Njia rahisi ya wewe kuepuka swali hilo ni kubadilisha jina, kujibu kila mtu atakaeuliza au kufungua uzi maalumu kuelezea maana ya hilo jina ili mtu akiuliza tu umtag hapo apate kuelewa
Asantee alafu nisikie unalialiaaa
Niko hapa mzee ya peremende ila kwa leo mr x sitoweka mapema
arostoooMji mkuu wake na jina lako ni baba mmoja mama mbali mbali..Leo katika Historia
1960 - Ni siku ya Uhuru wa Chad.
Vizuri sana madam. Ya most welicamu.!Nashukuru Mungu kwema kabisa
Madame S
Nani huyo?Matatizo mengine ya kujitakia tu
Mfano mtu hijiite Mfua chupi inategemea nini?
Mimi pia nimewahi kumshauri abadili ID(Username) ila sikumlazimisha
............
Wavietnam hatar, wanakuja kama buku hv..Leo katika Historia
1972 - Jeshi la mwisho la Ardhini la Marekani laondoka huko Kusini mwa Vietnamna kuhitimisha kushindwa kwa Marekani katika vita hiyo iliyopigwa kwenye misitu minene.
Duh. Hiz siku nyingine hazina kicjwa wala miguuLeo katika Historia
Ni siku ya milima nchini Japan.
Thank yah!!
Leo katika Historia
1943 - Jenerali Parvez Musharraf anazaliwa.
Ni Jenerali na Rais wa 10 wa nchi ya Pakistan.
Hongera kwa 260k bibie...Usiwe unapotea sana love, maana nanusurika kupigishwa sound
Madame S
Himena himenesKwa hisani ya Chia seeds leo katika historia haina la ziada...
Niite Jimena Jimenes
T G I F![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Weka order yako sasa!!
Hongera kwa 260k bibie...
Enzi za mwalimu ilikuwa hapatoshi humu kufukuzia hii kitu..







zama zimebadilika, asante makaveli10Sh ngap hii, n matumiz yake ni yapi.. nahisi itamfaa bimkubwa wanguKwa hisani ya Chia seeds leo katika historia haina la ziada...
Niite Jimena Jimenes
T G I F![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Weka order yako sasa!!