Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,279
- 35,642
Ubarikiwe sana mtumishi. Asubuhi na uwe na siku njemaNa ya pili ndio hii Mpende jirani yako kama nafsi yako kama nafsi yako hakuna amri iliyo kuu kuliko hizi
Yule mwandishi akajibu hakika Mwalimu umesema vema ya kwamba Mungu ni mmoja wala hakuna mwingine ila yeye
MARKO 12:31-31
Mbarikiwe sana muwe na asubuhi njema![]()
Na ya pili ndio hii Mpende jirani yako kama nafsi yako kama nafsi yako hakuna amri iliyo kuu kuliko hizi