Makapuku Forum

Makapuku Forum

d7c685ec90ed28bd7d3dbb8bbc9d4757.jpg
obe ukuje umnunulie mama ashura


...ubarikiwe sana kwa kuweka hizi ndudu maana unaweza kujisahau ukadhani unabariki kumbe unabikiri
 
1/William H Harrison
523a615439fd455f738c0ae1c2f1d373.jpg
2c55df329f2395c1ea1d93d986e36ab1.jpg
5266674cebbfb3087d622b6894032ae7.jpg

Alizaliwa mwaka 1773 na kufariki dunia 1841
Huyu ndio rais wa Marekani aliyekaa madarakani muda mfupi zaidi na ndiye rais wa kwanza kufia White House
Aliapishwa March 4 1841na kufariki April 4 1841

Yaani siku 31 au mwezi mmoja tu
Hata gwaride itakuwa kaonja siku ya kuapishwa tu
Pole yake
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........

Inshaallah, na kwako pia nyangema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.......Achana na penati ya Morata na ile ambayo sijui kipa wa chelsea alijua anaanza mpira ....anyway yalitokea na ufunguzi huo tayari ijmaa kinanuka ...sema sio dili wala kesi ila utamu ni leo....dadeeekii ebhu twende wote japo mda wako ntautumia kama wewe hutoutumia .....Marcelo na Dani Carvajal hawa ndio watu hatari sana katika kutengeneza nafasi za magoli kwa safu ya ushambuliaji ya Real Madrid...... Ubora wao sio tu Zidane anaukubali hata Mourinho anauheshimu. Pamoja na kuwa bora sana katika kuifaidisha safu ya ushambuliaji kwa mipira yao ya mwisho Bado pia wamekuwa wakiitia dosari eneo lao la ulinzi wanapokutana na timu zinazotumia mashambulizi ya kushtukiza.

Kwa bahati mbaya kwa Mourinho na bahati nzuri kwa Zinedine Zidane ni kuwa kuelekea mchezo huu, Jose Mourinho anawakosa mabeki wake watatu bora kabisa Marcos Rojo, Phil Jones na Erick Bailly. Hii inatengeneza mapungufu kiasi katika safu ile ya ulinzi ya Manchester united mbele ya safu ile ya ushambuliaji ya Real Madrid..... Kriss Smaling, Daley Blind, Victor Lindelof na Alex Tuanzebe ndio mabeki wa kati wenye uwezekano mkubwa wa kucheza katika mchezo huu.

kapuku usinichoke .......ili uweze kumzibiti Christian Ronaldo basi ni lazima Valencia na Damian wafanye kazi kuwazuia sana na kuwashambulia sana Marcelo na Dani Carvajal.... Njia pekee ya kuwakaba hawa mabeki bora kabisa wa pembeni wa Real Madrid ni kuwashambulia, Marcus Rashford, Anthony Martial, Jesse lingard, Juan Mata na Henrikh Mkhitaryan kama viungo wa pembeni watatakiwa kuwafanya Marcelo na Dani Carvajal wasipandandishe mashambulizi na kama wakipandisha basi yasiwe mara kwa mara.

Jiandae kulipia kinywaji kwaajili ya vita ya eneo la kiungo..... Toni Kroosi, Paul Pogba, lucar Mondric, Nemanja Matic, Casemiro na Andre Herrera. Hapa ndipo zilipo roho za difensive na offensive katika mchezo huu.
Baada ya ujio wa Nemanja Matic katika kiungo cha Manchester united.... Viungo wa Real Madrid wanapaswa kuwa makini sana na Paul Pogba katika eneo la juu nyuma ya Romero Lukaku. Mara zote mpira unapokuwa mguuni kwake huwa na hatari sana, hii kutokana na aina ya uchezaji wake, kuna wakati anaamua kupiga, kuna wakati anaamua kutengeneza nafasi za magoli.
Achana na Dani cellobas na Matteo Covacic alafu Fellain na Andre Pereira hawa ni wa baadae.

Mpira unapokuwa mguuni mwa eidha Mata, Mkhitaryan, martial, Rashford au Lingard.. Ramos, Nacho na Verane wanapaswa kuwa makini sana na movement za Romero Lukaku, huyu jamaa ni mzuri sana kwenye kujitengenezea nafasi wakati timu inakuja nyuma na mpira. Kama ilivyo kwa Karimu Benzema, Marco Asensio, Isco na Gareth Bale... Wamekuwa wazuri sana wanapopata nafasi huzitumia vizuri pindi mabeki tension yao inakuwa kwa Christian Ronaldo.

Kama Zinedine Zidane ataamua kumtumia Bale katika mchezo huu basi Madrid watakuwa na nguvu sana pembeni mwa uwanja, ila kama ataamua kumtumia Isco, Manchester united watapata usumbufu sana katikati ya uwanja..... Ila kama Mourinho ataamua kumtumia eidha Fellain au Matic kama destroyer basi kuna unafuu mkubwa kwa watu hawa kupunguza pressure ya mipira ya juu kutokana na size zao katika maeneo yote mipira itakapokuwa inapigwa juu.

Mchezo huu unaweza usiwe na ubora ule watu Wengi wanaoutegemea kutokana na hali ya joto katika nchi ya Macedonia katika mji wa Skopje kuwa na joto Kali linalokadiriwa kufika mpaka nyuzi joto 40 japo kwa jana ilikuwa ni nyuzi joto 38. Kama timu hazija training katika mazingira kama hayo basi wanaweza kucheza chini ya ubora ule wa kila siku.

Zinedine Zidane changa karata zako na Jose Mourinho panga kete zako... Tuikaribishe UEFA champions league....japo wenzangu na mimi pambana na hali yenu kama watoto wenu wataililia futuhi walaze mapema ili muenjoy mpira wenu .....
JM hakuchanga karata zake vizuri
Mwisho wa siku Zidane kaibuka kidedea
 
3/Zachary Taylor
ad72605bf854f05e1d6b5d6de14bf9d3.jpg
a7e2d4867be4e917260508c4e9cc9ec7.jpg
1cc86fc5366969b72f979bb2bfb58c61.jpg
Alizaliwa mwaka 1784 na kufariki 1850
Alifia nadarakani katika muhula wake wa kwanza tu
Alishindwa kuapishwa March 5 1849 sababu ilikuwa ni Jumapili na yeye kutokana na ulokole wake akagoma kuapishwa siku tukufu kwa bwana hivyo ikaahirishwa
na kuapishwa March 4 yaani ilirudishwa nyuma
Alitawala kuanzia Marc 4 mwaka 1849 hadi Julai 9 mwaka 1850

Yaani siku 491 tu
.....
Aisee
 
1/William H Harrison
523a615439fd455f738c0ae1c2f1d373.jpg
2c55df329f2395c1ea1d93d986e36ab1.jpg
5266674cebbfb3087d622b6894032ae7.jpg

Alizaliwa mwaka 1773 na kufariki dunia 1841
Huyu ndio rais wa Marekani aliyekaa madarakani muda mfupi zaidi na ndiye rais wa kwanza kufia White House
Aliapishwa March 4 1841na kufariki April 4 1841

Yaani siku 31 au mwezi mmoja tu
Hata gwaride itakuwa kaonja siku ya kuapishwa tu
Pole yake
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........

Tuko pamoja mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom