Makapuku Forum

Makapuku Forum

a2ace2a8eb8f5771d276686852951b14.jpg
 
3/Zachary Taylor
ad72605bf854f05e1d6b5d6de14bf9d3.jpg
a7e2d4867be4e917260508c4e9cc9ec7.jpg
1cc86fc5366969b72f979bb2bfb58c61.jpg
Alizaliwa mwaka 1784 na kufariki 1850
Alifia nadarakani katika muhula wake wa kwanza tu
Alishindwa kuapishwa March 5 1849 sababu ilikuwa ni Jumapili na yeye kutokana na ulokole wake akagoma kuapishwa siku tukufu kwa bwana hivyo ikaahirishwa
na kuapishwa March 4 yaani ilirudishwa nyuma
Alitawala kuanzia Marc 4 mwaka 1849 hadi Julai 9 mwaka 1850

Yaani siku 491 tu
.....
 
4/Warren G Harding
4414bb97510b40dde05191426e0f7f9b.jpg
b2303654473f69dcee161fcdedc565c6.jpg
AliAliwa mwaka 1865 na kufariki dunia mwaka 1923
Huyu alifariki akiwa madarakani kutumikia muhula wake wa kwanza
Kabla ya kifo chake alikuwa mstari wa mbele kurejea amani katika nchi za Austria na Ujerumani kutokana na Vita Kuu ya kwanza ya dunia
Naye alipitisha sheria kibao nzuri pamoja na za kidwanzi kama vile Sheria ya Uhamiaji na Sheria ya Radio na mawasiliano kama za jamaa wa TCRA bila kusahau kukamuana kodi kama Sizonje na mitambo yake ya EFD
Aliiongoza Marekani kuanzia mwaka 1921 Machi 4hadi alipofariki dunia Agosti 2 1923

Yaani alitawala siku 881 tu
.....
Sawa na miaka km miwili hv
 
3/Zachary Taylor
ad72605bf854f05e1d6b5d6de14bf9d3.jpg
a7e2d4867be4e917260508c4e9cc9ec7.jpg
1cc86fc5366969b72f979bb2bfb58c61.jpg
Alizaliwa mwaka 1784 na kufariki 1850
Alifia nadarakani katika muhula wake wa kwanza tu
Alishindwa kuapishwa March 5 1849 sababu ilikuwa ni Jumapili na yeye kutokana na ulokole wake akagoma kuapishwa siku tukufu kwa bwana hivyo ikaahirishwa
na kuapishwa March 4 yaani ilirudishwa nyuma
Alitawala kuanzia Marc 4 mwaka 1849 hadi Julai 9 mwaka 1850

Yaani siku 491 tu
.....
Km mwaka na nusu hv
 
2/James A Garfield
00750a337500ce33b8c78eb613341671.jpg
2da75f2c85a7f758abe5c2dc9ac10500.jpg
92734cc64b884ef44b25823a6c87fa41.jpg
Alizaliwa mwaka 1831 na kufariki 1881
Huyu anawakilisha kizazi halisi cha akina James achana na kizazi hovyo cha akina James Delicious ambao hupumuliwa visogoni
Huyu aliuawa akiwa madarakani kabla ya kutimiza hata mwaka mmoja
Alikuwa kwenye harakati ya kutengeneza baraza la mawaziri ambalo litabalansi mambo kwenye Chama cha Republican na pia kuwakosha Wamarekani ila jamaa wakamwahi na kumpumzisha
Alitawala kuanzia Machi 4 hadi Septemba 19 1881

Taani siku 199 tu
.....
 
1/William H Harrison
523a615439fd455f738c0ae1c2f1d373.jpg
2c55df329f2395c1ea1d93d986e36ab1.jpg
5266674cebbfb3087d622b6894032ae7.jpg

Alizaliwa mwaka 1773 na kufariki dunia 1841
Huyu ndio rais wa Marekani aliyekaa madarakani muda mfupi zaidi na ndiye rais wa kwanza kufia White House
Aliapishwa March 4 1841na kufariki April 4 1841

Yaani siku 31 au mwezi mmoja tu
Hata gwaride itakuwa kaonja siku ya kuapishwa tu
Pole yake
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........

 
1/William H Harrison
523a615439fd455f738c0ae1c2f1d373.jpg
2c55df329f2395c1ea1d93d986e36ab1.jpg
5266674cebbfb3087d622b6894032ae7.jpg

Alizaliwa mwaka 1773 na kufariki dunia 1841
Huyu ndio rais wa Marekani aliyekaa madarakani muda mfupi zaidi na ndiye rais wa kwanza kufia White House
Aliapishwa March 4 1841na kufariki April 4 1841

Yaani siku 31 au mwezi mmoja tu
Hata gwaride itakuwa kaonja siku ya kuapishwa tu
Pole yake
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........

Thanks bitoz
 
1/William H Harrison
523a615439fd455f738c0ae1c2f1d373.jpg
2c55df329f2395c1ea1d93d986e36ab1.jpg
5266674cebbfb3087d622b6894032ae7.jpg

Alizaliwa mwaka 1773 na kufariki dunia 1841
Huyu ndio rais wa Marekani aliyekaa madarakani muda mfupi zaidi na ndiye rais wa kwanza kufia White House
Aliapishwa March 4 1841na kufariki April 4 1841

Yaani siku 31 au mwezi mmoja tu
Hata gwaride itakuwa kaonja siku ya kuapishwa tu
Pole yake
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........

Asante mdau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom