Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Sawa na miaka km miwili hv4/Warren G Harding
AliAliwa mwaka 1865 na kufariki dunia mwaka 1923![]()
Huyu alifariki akiwa madarakani kutumikia muhula wake wa kwanza
Kabla ya kifo chake alikuwa mstari wa mbele kurejea amani katika nchi za Austria na Ujerumani kutokana na Vita Kuu ya kwanza ya dunia
Naye alipitisha sheria kibao nzuri pamoja na za kidwanzi kama vile Sheria ya Uhamiaji na Sheria ya Radio na mawasiliano kama za jamaa wa TCRA bila kusahau kukamuana kodi kama Sizonje na mitambo yake ya EFD
Aliiongoza Marekani kuanzia mwaka 1921 Machi 4hadi alipofariki dunia Agosti 2 1923
Yaani alitawala siku 881 tu
.....
Km mwaka na nusu hv3/Zachary Taylor![]()
Alizaliwa mwaka 1784 na kufariki 1850![]()
Alifia nadarakani katika muhula wake wa kwanza tu
Alishindwa kuapishwa March 5 1849 sababu ilikuwa ni Jumapili na yeye kutokana na ulokole wake akagoma kuapishwa siku tukufu kwa bwana hivyo ikaahirishwa
na kuapishwa March 4 yaani ilirudishwa nyuma
Alitawala kuanzia Marc 4 mwaka 1849 hadi Julai 9 mwaka 1850
Yaani siku 491 tu
.....
Kaushaa mkuu sikuwa na bando siku ileLee umepotezea ngao ya jamii ehee
Aisee dah
Pole, ila msimu huu utakuwa ngumu sana kwakoKaushaa mkuu sikuwa na bando siku ile
Thanks bitoz1/William H Harrison![]()
![]()
![]()
Alizaliwa mwaka 1773 na kufariki dunia 1841
Huyu ndio rais wa Marekani aliyekaa madarakani muda mfupi zaidi na ndiye rais wa kwanza kufia White House
Aliapishwa March 4 1841na kufariki April 4 1841
Yaani siku 31 au mwezi mmoja tu
Hata gwaride itakuwa kaonja siku ya kuapishwa tu
Pole yake
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........
Asante mdau1/William H Harrison![]()
![]()
![]()
Alizaliwa mwaka 1773 na kufariki dunia 1841
Huyu ndio rais wa Marekani aliyekaa madarakani muda mfupi zaidi na ndiye rais wa kwanza kufia White House
Aliapishwa March 4 1841na kufariki April 4 1841
Yaani siku 31 au mwezi mmoja tu
Hata gwaride itakuwa kaonja siku ya kuapishwa tu
Pole yake
.
.
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Niwatakie Usiku Mwema
Tukutane kesho
Mwisho
.........