Huyu naye ametaka jimbo au?
Aiseeeenshakwambia wewe huniwezii
Utaishia ku left kama juzi Kwani sikujuisawa ...mm nimejipanga
Sijuihana nini
HongeraaHaswaa
SijajuaHuyu naye ametaka jimbo au?
inategemea na mbinu ...na hiyo mbinu ya kukushindaUtaishia ku left kama juzi Kwani sikujui
Basi bwana.... Kwa sababu wewe ndo umeitwa my..... Lazima usione hayo.... Na mimi kwa vile ni babu wacha nijifanye sioniHayo mengine ni yako babu mtu mimi sikuona hayo matusi





kwani d alikujajeSijui
Jamaa namkumbuka kichiz ni genious.. ana mchango mkubwa katika physics na mathematics, kusahaulika ni ngumu cz utakachotaka kukifanya lazima utapita katika njia yake kwa namna moja au nyingine utarecall either kanuni hata laws.. 100% amenifanya niipende sana physics..10/Sir Isaac Newton![]()
![]()
![]()
Alizaliwa mwaka 1642 na kufariki dunia mwaka 1727
Kama ulisoma sayansi walau kidato cha pili tu halafu humjui huyu mtu basi ulienda shule kusomea ujinga badala ya kuondoa ujinga
Ameandikwa kwebye vitabu karibia 500,000 na inakadiriwa umaarufu wake hautaweza kupitwa na mtu landa baada ya miaka zaidi ya 250
Jamaa ni mfalme wa Mechanical Physics na umaarifu wake mkubwa upo kwenye Newton's Law of Motion wala sikusimulii inasemaje kama ulikimbia umande shauri yako
Pia jamaa ni noma linapokuja suala la Principles of Natural Philosophy
Kwa mwezi anafuatiliwa (searched) na watu zaidi ya X 2,000,000
..........
Galileo galilei... watu wa roma walimfanya vibaya.Namkubali mno huyu mwanasayansi
Na yule wanamwita galilei sijui kama sijakosea
Babu huwa hatekwi wala hajiteki... Ni mjanja kuliko Mr X.... Sio kwa mengine lakiniKaribu au ulijteka![]()
![]()




Naenda porini kuchimba dawa 


Nasikiaga kuna papa paul wa 1 sijui wa 6.. huyu nadhan anakuwa wa 06/Paul The Apostle of Tarsus![]()
Alizaliwa mwaka 5C na kufa 67 AD![]()
Kwa Wakristo anajulikana kama Mtume Paulo na ndiye mtume aliyeipigania dini kwa kuweka miongozo na kanuni tunazozifuata hadi hii leo
Msishangae kwa Wakatoliki jina Paulo ni maarufu hata kwa Mapapa linapendwa zaidi
Alitoa barua/waraka 13 kwa wakristo wa madhebu yote hivyo makanisa yote yanamfahamu huyu mtu
Anajulikana kwa wakristo kama mtu wa kwanza kujua kuandika
Kaandikwa kwenye vitbu takribani 7,000,000
Kwa mwezi anatafuta takribani X 4,000,000
.................... ...
Zitaendelea baadaye
Uache kuleft, Pambana na hali yakoinategemea na mbinu ...na hiyo mbinu ya kukushinda