Makapuku Forum

Makapuku Forum

10/John Tyler
45f8401ccc011dd9f6bd99fba375b763.jpg
488dd88d102edbc24e346bb7f41314eb.jpg
cd0bfa11888ea9bccb3ef077acfb49b8.jpg
Alizaliwa mwaka 1790 na kufariki dunia 1962
Huyu alimalizia muhula wa nwa mtangulizi wake
Alilikoroga kwa vyama vya Liberty na Democrat hivyo akajikuta anashindwa kusapotiwa
Hivyo kuishia tu kuitwa Acting President na pia kuitwaitwa "His Accidency"
Alitawala kuanzia April 4 mwaka 1841 na kuachia ngazi March 4 mwaka 1845

Alikaa Ikulu siku 1,430
........
 
9/Andrew Johnson
52218b9b068260984e4775320dd9f7ce.jpg
21f89df3ae4f906ab2262839e2ea996f.jpg
6599163ae45f6dcca934000d7db048d0.jpg

Alizaliwa mwaka 1808 na kufariki dunia mwaka 1875
Huyu alichukua madaraka na kumalizia muhula wa urais wa Abraham Lincon aliyeuawa akiwa madarakani April 1865
Huyu bwana akawa na kiherehere cha kujenga chama upya kama Sizonje matokeo yake akahikura anaharibu
Alikaa madarakani kuanzia 1865 hadi mwaka 1869

Alikaa Ikulu siku 1,419
......
 
8/Chester Arthur
7b75577824f13408b66efd7831cfdba5.jpg
2caf37cf2122431005685167bf68896c.jpg
ab71385bad5343cff5e078e5e5186024.jpg
Alizaliwa mwaka 1829 na kufariki 1886
Huyu jamaa alikuwa akimalizia nuhula wa Rais Garlfield ila baadaye akakatwa kamaMamvi kilichompata kwenye Chama Cha Mimea
Anakumbukwa kwa kupitisha sheria za kifwanzi za Uhamiaji na ndio kitu kilichochangia kumwaribia
Alitawala kuanzia mwaka 1881 jadi 1885

Alikaa Ikulu siku 1,262
.....
 
7/John F Kennedy
b378a0702fc31e71bdd33a20ed57ac31.jpg
4d29617720582633480eeaa7169d9324.jpg

Alizaliwa mwaka 1917 na kuuawa mwaka 1963 akiwa madarakani
Ni maarufu kwa jona la JFK ila kando yake pia kuna RFK{Robert} na EFK(Edward} bila kumsahau RFK Jr wote hawa wanatokea kwenye ukoo unaoaminika kuwa na nuksi zaidi duniani kwani ukoo wao umeandamwa na vifo tatanishi
Inaaminika aliuawa n CIA/FBI kutokana na kutopendezwa nae
Ndiye Rais aliyeanzisha vita ya Vietnam
Anaaminika kuwa Rais bishoo na mpenda wanawake ...yeye na akina RFK na EFK wote wanaaminika kumlalia Marilyn Monroe na inaaminika wanahusika na kifo chake kupitia CIA/FBI
Alikaa madarakani kuanzia 1861 hadi 1963

Yaani siku 1,036
.....
 
TOP TEN
Wakati kukiwa na ngonjera pamoja na kiki za kibwege za kutuzuga eti hataki kutawala zaidi ya miaka 10 kila siku wakati ni maigizo tu na kila mtu anajua Urais mwisho ni vipindi viwili sasa mbwembwe za nini sijui?
Wakenya wapo kwenye uchaguzi na ninavyowajua hawapendagi ujinga wale wanaweza kumweka mtu kando ila sijui kzma wameamua
Huko Rwanda bwana mkubwa keshageuka Rais wa maisha wakati aliyejiita hivyo (Omar Bongo} alishajifia na kuzikwa na utawala wake kuishia hapo

Sasa tuangalie marais wa Marekani waliotawala kipindi kifupi
Karibuni
.....
Anatupulizia mwenyewe.. anatuona sie mapopoma, kama kujitekenya na kucheka mwenyewe..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
6/Millard Fillmore
e45e3c9812638a3aab4f6eac628c8c6d.jpg
df6062766e1749e76794251fdaedd99a.jpg
3c9f503d136fc0c5c2e6bc6b9b611221.jpg
Alizaliwa mwaka 1800 na kufariki dunia 1874
Huyu nae alimalizia muhula wa Rais aliyeachia ngazi sijui alifariki (Taylor)
Akajotahidi kukijenga chama kwa njia sahihi na kufanikiwa kuifanya amani na utulivu kuwa nguzo kuu ya kudumisha umoja na baadaye kurudi tena kilingeni
Aliingoza Marekani kuanzia mwaka 1850 hadi 1853

Yaani siku 969

..............................
Zitaendelea baadaye
 
Duuh kumbe utani wa humu unawaumiza watu
Jamani hapa ni stress free sio siasa hivyo utani ni kawaida tu

Mfano Husna & Obe ni couple ya humu ila mimi kila siku nataniana na Husna hadi mtu anaweza kuhisi nina uhusiano nae ila la hasha ni utani tu

Hivyo wadau msiwe mnamind mambo madogo tu pia utani wetu unaishia kwenye thread hii tu tukikutana kwingine hatutaniani kivile na kila mtu yupo huru humu au nje ya thread hivyo ya humu huishia humu

Niwatakie Mchana Mwema
..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom