makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,947
- 104,309
Kifo chake kilikuwaje?Msomi wa wakati huo katika dini la Kiyahudi kabla hajaongoka na kuanza kumhubiri kristo
Alifia kifo dini huko roma
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifo chake kilikuwaje?Msomi wa wakati huo katika dini la Kiyahudi kabla hajaongoka na kuanza kumhubiri kristo
Alifia kifo dini huko roma
Si mlimnunua aukwani d alikujaje
.......Achana na penati ya Morata na ile ambayo sijui kipa wa chelsea alijua anaanza mpira ....anyway yalitokea na ufunguzi huo tayari ijmaa kinanuka ...sema sio dili wala kesi ila utamu ni leo....dadeeekii ebhu twende wote japo mda wako ntautumia kama wewe hutoutumia .....Marcelo na Dani Carvajal hawa ndio watu hatari sana katika kutengeneza nafasi za magoli kwa safu ya ushambuliaji ya Real Madrid...... Ubora wao sio tu Zidane anaukubali hata Mourinho anauheshimu. Pamoja na kuwa bora sana katika kuifaidisha safu ya ushambuliaji kwa mipira yao ya mwisho Bado pia wamekuwa wakiitia dosari eneo lao la ulinzi wanapokutana na timu zinazotumia mashambulizi ya kushtukiza.EUFA SUPER CUP
![]()
![]()
Si mlimnunua au
Wala tuu jamaniiunataka kurevenge mda huu ..usinifanyiee hivo
apoo sawaa nilitka nile viapo vyanguWala tuu jamanii
....Hivi kumbe leo ni Simba Day!!!/ Yaani ndo nimejua sasa hivi, kwanini kusiwe na tangazo kubwa ili nisiwe wa mwisho kufahamu?
Anyway, nakusalimu tu Kapuku mheshimika
Kwani what happened with jovitha..?ya leo imefikia ya jovitha ...na unanijua dude ukitaka kuliamsha nakukimbiaa kwani mm nakuweza ?
sema sakayo mkomoanao unaendelea mda mwingine we tupe like na ufurahie shoo ...leo zamu yake imeisha namsubilia ajibu mapigo

Tuvungie basi...Hii tabia ya Thimbwa kwenda uwanja wa Taifa kulishana keki ipigwe marufuku![]()
Hivi jengo lao halitoshi
....
Hahahaapoo sawaa nilitka nile viapo vyangu
Shangaa na weweKwani what happened with jovitha..?
Naonaga tuu ananikimbia..![]()
Tuache bwana tufurahie siku yetu Kwani uwanja c wetu sote?Hii tabia ya Thimbwa kwenda uwanja wa Taifa kulishana keki ipigwe marufuku![]()
Hivi jengo lao halitoshi
....
Kumbe leo mpo kwenye siku yenuTuache bwana tufurahie siku yetu Kwani uwanja c wetu sote?
Kiswahili kina maana nyingi si hvyo mnavyomaanisha nyieKumbe leo mpo kwenye siku yenu![]()
![]()
![]()
....
Hahaa Simba leo yupo kwenye. Siku yakeKiswahili kina maana nyingi si hvyo mnavyomaanisha nyie
Si mbayaHahaa Simba leo yupo kwenye. Siku yake
![]()
![]()
![]()
.....