Makapuku Forum

Makapuku Forum

5/John Grisham
5c3131db5ec6ff009430e8aa64f3aade.jpg
6ac0d9457b4929f8e2e83d5323628f82.jpg
Alizaliwa Februari 22 mnamo mwaka 1955
Kama kwenye uzi wa rafiki yangu ONTARIO kuhusu FOREX mtu ulikuwa/upo mstari wa mbele kama tai ya mgambo halafu humjui huyu mtu basi wewe hujui kitu uhusu forex na hata vitabu hujasoma ila unatuzuga tu ....tumeshakushtukia!!!

Huyu ni msomi wa masuala ya Business Administration pia jamaa kapiga sheria hivyo ni Lawyer mzuri tu na ukidhulumu biashara zake atakuburuza mahakamani yeye mwenyewe
31c2bf15b9d5a1c1dc51118b9bc4402d.jpg
90e8c77fbf963903deea6b9a7e12ee1a.jpg
88adb4e2fe71f9a2446d9408d8306ae7.jpg

Kitabu chake cha The Firm ndo kilichobamba zaidi ambayo kinanwelezea Mwanasheria kijana(young attorney) na masahibu yake ila ni fiction tu au labda ni kisa cha kweli anayejua ni yeye
Pia kaandika Learn CFD/Forex Trading with a top broker
Jamaa ni noma

..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom